M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,027
mutoto ya mujini....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijaongelea social kwamba mambo ya migahawani nimeongeleaa lifestyle yake sio kama magufuli kama haujui sema nikuambie alivyosocialMbona JPM alipo kula kwenye ule mgahawa wa airport pale mwanza hamkusema kama ni social sana ? tena yeye alinunulia wateja wenzake wote chakula pale.
Kweli kabisa mkuu.Nikiangalia sura naona kama ni Wagikuyu wenzake. Angejumuka na Wajaluo na kuikung'uta dona hapo ingekuwa poa.
Nasikia aliumwa tumbo baada ya kula Ugali apo KenyaJuzi tu hapa na yule mmiliki wa Fb alikula Ugali tembele huko Kenya
Niambie jinsi alivyo antisocialsijaongelea social kwamba mambo ya migahawani nimeongeleaa lifestyle yake sio kama magufuli kama haujui sema nikuambie alivyosocial
alivyo social sio antisociallNiambie jinsi alivyo antisocial
JK yupi, mkuu?
Yule wa kaunda suti au yule wa suti za uarabuni?
Hivi unadhani hapo kwenye picha hakuna walinzi kweli????? Basi kwa taarifa yako jamaa anatembea na lundo la walinzialivyo social sio antisociall
huyu jamaa namfananisha naaisha anayoishi miraji kikwete kama wamjuuuu sasa huyu uhuru wakati baba yake ni raisi yy alikuwa anatoka ikulu anaenda kupga mastory na majamaa ulaiani mara alale huko huko .kwa maselaa full kunywa kulewaa nk na mpaka sasa yupo rais anaweza kuamuaa kwenda sehemu peke yake bilaa ulinzi kabsaa na wapnzan wake yupo nao social sana ..yeye anachoangaliaa ni nchi yake kuwa na maendeleo pia kwenye mikutano yake ya siasa utamuonaa tu ambavyo anajumuika na wasanii wenzake kwenda kucheza
Acha hizo wewe,mbona obama mashoto hushtuki,na hela zake ndio zimechangia kukuletea umeme unaochargia tecno lako,huko mfaranyaki.A550LE!!.Maskini Kinyatta ana mashoto
🙂🙂🙂
sasa ww kati ya magu na uhuru nan yupo socialHivi unadhani hapo kwenye picha hakuna walinzi kweli????? Basi kwa taarifa yako jamaa anatembea na lundo la walinzi
mbona unafoka sana? Obama mimi hanihusu hata kidogo wala kwa chochote. ni mtu tu wa kawaida. Bora nifikirie na kujali ya raisi wangu kenyatta. Upo?Acha hizo wewe,mbona obama mashoto hushtuki,na hela zake ndio zimechangia kukuletea umeme unaochargia tecno lako,huko mfaranyaki.A550LE!!.
Mipango ya kujiweka sawa kwa uchaguzi mkuu..
kwani tulimwabia awanunulie si kiherehere chake;Mbona JPM alipo kula kwenye ule mgahawa wa airport pale mwanza hamkusema kama ni social sana ? tena yeye alinunulia wateja wenzake wote chakula pale.
Jaadhee dongo lao venye ngumu ingekuwa poa zaidiNikiangalia sura naona kama ni Wagikuyu wenzake. Angejumuka na Wajaluo na kuikung'uta dona hapo ingekuwa poa.
Ninasikia kuwa wasukuma kwa kawaida ni wakarimu sana hasa kwenye kula kwa hiyo hicho kiherehere ukisemacho ni tafsiri yako tu.kwani tulimwabia awanunulie si kiherehere chake;
🙄 kwa kweli aisee; hawana huruma kabsaaaNinasikia kuwa wasukuma kwa kawaida ni wakarimu sana hasa kwenye kula kwa hiyo hicho kiherehere ukisemacho ni tafsiri yako tu.
Comments kama hizi ndizo tunamaliza.Nikiangalia sura naona kama ni Wagikuyu wenzake. Angejumuka na Wajaluo na kuikung'uta dona hapo ingekuwa poa.