Picha: Rais Uhuru ajiachia na kula ugali kitaa

Papa Francis alitembelea Kenya natumaini alijifunza jambo la Upendo kwa masikini kuweza kushiriki kwa kile wakifanyacho na huwapa faraja.
 
mbona unafoka sana? Obama mimi hanihusu hata kidogo wala kwa chochote. ni mtu tu wa kawaida. Bora nifikirie na kujali ya raisi wangu kenyatta. Upo?
Tatizo nn kushtuka kuwa mashotto,ndio maumbile yake,it means mashotto wewe kwani unawachukuliaje,ni vilema?,jaribu ku Google uwaelewe ni watu gani,i think nawe unge wish kuwa left hander,nyie ndio wale mkipata watoto wakiwa wanatumia mkono wa kushoto mnawa bully,si vizuri huko ni kunyanyapaa.
 
Mbona anasalimia kwa kutumia mkono wa kulia
 
Season ya vitimbi ishaanza mara push up.....mara kuruka ruka joto mingi sana....mara ule kwenye mgahawa...mara kuchuchumia..let's see and watch Movies in series of actions maana Movie hii ni mapacha na ILE YA TANZANIA KABISAA.
 
JK yupi, mkuu?
Yule wa kaunda suti au yule wa suti za uarabuni?
huyo huyo unaemjua wewe, niliwahi kuona kwenye youtube ananunua papa njiani kwenye genge, Chuki mchukieni haki yake mpeni.
 
Kumbe kale kamjaa mark kalimgusa eeh, freedom naekaamua kujimix
 
Kweli kabisa mkuu.
Alafu kaiga kutoka kwa Magufuli alivyokuwa uwanja wa Ndege Mwanza.
Na mtaiga kila kitu anachofanya Raisi Magufuli
Mkuu uhuru nimemwona akifanya haya hata kipindi magufuli hatujafikiria kama atakuwa rais. Rejea ile picha iliyojadiliwa saana alipokuwa na maasai akichoma nyama porini.
 
Hivi Uhuru hadi kula anatumia mkono wa kushoto?
 
Guys wat is wrong mbona kila kinachofanyika mnaponda tu ....Ni chuki zaaina gni mlizonazo haters ....wengne mnakera sana humu jf. ...wanaopost positive things tupo pamoja
 
Mkuu uhuru nimemwona akifanya haya hata kipindi magufuli hatujafikiria kama atakuwa rais. Rejea ile picha iliyojadiliwa saana alipokuwa na maasai akichoma nyama porini.
Toeni uchafu wenu
 
Kwa hiyo akikupa hela kwa mkono wa kushoto utaikataa?
Usikubali kuwa dhalili hata kama huna kitu. Hivi mtu anaweza kukudhalilisha na wewe ukaitikia hewallah. Tusiwe watumwa na wanyonge wa nafsi kiasi cha kudhalilika eti kwa kuwa unapokea pesa! Ukisikia dharau ndio hiyo. Kwa mujibu wa uafrika wetu, kutumia mkono wa shoto ni dharau labda kuna sababu na mwenye kuutumia atakutaka radhi kabla ya kupokea kitu anachotaka kukupa.
 
Mind misaada yote anayoidhinisha pres.Obama ni kwa MKONO HUO WA KUSHOTO,ndio hiyo hela unayochajia simu yako,na kupita barabarani kwenda kutafuta hela ya vocha ili tukuone hapa,unaliongeleaje hilo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…