Anawasanifu raia wake masikini wasiojiweza hata kwa mlo mmoja kwa siku. Naona hii ni ni dhihaka tu!
Tatizo nn kushtuka kuwa mashotto,ndio maumbile yake,it means mashotto wewe kwani unawachukuliaje,ni vilema?,jaribu ku Google uwaelewe ni watu gani,i think nawe unge wish kuwa left hander,nyie ndio wale mkipata watoto wakiwa wanatumia mkono wa kushoto mnawa bully,si vizuri huko ni kunyanyapaa.mbona unafoka sana? Obama mimi hanihusu hata kidogo wala kwa chochote. ni mtu tu wa kawaida. Bora nifikirie na kujali ya raisi wangu kenyatta. Upo?
Mbona anasalimia kwa kutumia mkono wa kuliaTatizo nn kushtuka kuwa mashotto,ndio maumbile yake,it means mashotto wewe kwani unawachukuliaje,ni vilema?,jaribu ku Google uwaelewe ni watu gani,i think nawe unge wish kuwa left hander,nyie ndio wale mkipata watoto wakiwa wanatumia mkono wa kushoto mnawa bully,si vizuri huko ni kunyanyapaa.
Na wewe kama gt unaamini hivyo!?huyu jamaa social sana
Pia alipanda daladala la mbagalaChaguzi za kiafrika usanii mtupu,Lowassa alikwenda kula mbaazi tandika
huyo huyo unaemjua wewe, niliwahi kuona kwenye youtube ananunua papa njiani kwenye genge, Chuki mchukieni haki yake mpeni.JK yupi, mkuu?
Yule wa kaunda suti au yule wa suti za uarabuni?
Mkuu uhuru nimemwona akifanya haya hata kipindi magufuli hatujafikiria kama atakuwa rais. Rejea ile picha iliyojadiliwa saana alipokuwa na maasai akichoma nyama porini.Kweli kabisa mkuu.
Alafu kaiga kutoka kwa Magufuli alivyokuwa uwanja wa Ndege Mwanza.
Na mtaiga kila kitu anachofanya Raisi Magufuli
Ha ha haaaaChaguzi za kiafrika usanii mtupu,Lowassa alikwenda kula mbaazi tandika
Kwa hiyo akikupa hela kwa mkono wa kushoto utaikataa?Mbona anasalimia kwa kutumia mkono wa kulia
Toeni uchafu wenuMkuu uhuru nimemwona akifanya haya hata kipindi magufuli hatujafikiria kama atakuwa rais. Rejea ile picha iliyojadiliwa saana alipokuwa na maasai akichoma nyama porini.
Usikubali kuwa dhalili hata kama huna kitu. Hivi mtu anaweza kukudhalilisha na wewe ukaitikia hewallah. Tusiwe watumwa na wanyonge wa nafsi kiasi cha kudhalilika eti kwa kuwa unapokea pesa! Ukisikia dharau ndio hiyo. Kwa mujibu wa uafrika wetu, kutumia mkono wa shoto ni dharau labda kuna sababu na mwenye kuutumia atakutaka radhi kabla ya kupokea kitu anachotaka kukupa.Kwa hiyo akikupa hela kwa mkono wa kushoto utaikataa?
Mind misaada yote anayoidhinisha pres.Obama ni kwa MKONO HUO WA KUSHOTO,ndio hiyo hela unayochajia simu yako,na kupita barabarani kwenda kutafuta hela ya vocha ili tukuone hapa,unaliongeleaje hilo?Usikubali kuwa dhalili hata kama huna kitu. Hivi mtu anaweza kukudhalilisha na wewe ukaitikia hewallah. Tusiwe watumwa na wanyonge wa nafsi kiasi cha kudhalilika eti kwa kuwa unapokea pesa! Ukisikia dharau ndio hiyo. Kwa mujibu wa uafrika wetu, kutumia mkono wa shoto ni dharau labda kuna sababu na mwenye kuutumia atakutaka radhi kabla ya kupokea kitu anachotaka kukupa.
Sio uchaguzi?huyu jamaa social sana