Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Israel wana tabia moja. Wakifanya yao wananyamaza. Huwa huwakuti wanazungumzia kitu. Wananyamaza tu kama si wao. Huwa hawaelezi wamefanyaje. Hata muwatukane muwalipue muwafanyaje. Wananyamaza tu.
Wataalamu wanasema Israel huwa ni wabaya zaidi ukiwachokoza kisha wakanyamaza tu. Haya wiki au mwezi. Huwa ni mbaya. Bora wakujibu kesho yake au siku ile ile. Ila ukiwapiga wakanyamaza. Hapo ndo uanze kuwaza wanawaza nini.
Wataalamu wanasema Israel huwa ni wabaya zaidi ukiwachokoza kisha wakanyamaza tu. Haya wiki au mwezi. Huwa ni mbaya. Bora wakujibu kesho yake au siku ile ile. Ila ukiwapiga wakanyamaza. Hapo ndo uanze kuwaza wanawaza nini.