Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni nani sasa aliyekuwa anasema rais anaumwa ?
Wazushi wa cdm na sukuma gang waumbuka 😀😀😀Pale Mganga anapolazwa
Mimi si wa Buza natoka Mwembeyanga , kuhusu maana ya hoja yangu rejea Moshi uliomkuta Jiwe kule RwangwaUna maana gani bibie wa Buza
Kuhusu nini ?Wazushi wa cdm na sukuma gang waumbuka [emoji3][emoji3][emoji3]
"Lema na Liberatus", Kigogo2014 throught TwitterNi nani sasa aliyekuwa anasema rais anaumwa ?
Hiyo hiyo niniKuhusu nini ?
Abubakar Zuberi bn Ali Mmbwana.Wazushi wa cdm na sukuma gang waumbuka [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwani nyie mliokuwa mnashangilia rais wetu Dkt Magufuli kuumwa enzi zile mlidhani ni sawa?? Nimemuona yule Mangi eti anasikitika Rais Samia kuumwa wakati ni mtu yuleyule alishangilia na kuombea kifo cha Dkt Magufuli kitokee. Na ndiyo maana hawa akina Mange vichwa vyao vinabei wakirudi tu bongo lazima wakatwe vichwa maana wafuasi wa Dkt Magufuli wana hasira sana naoNi nani sasa aliyekuwa anasema rais anaumwa ?
Wahuni tu hawa..."Lema na Liberatus", Kigogo2014 throught Twitter
sasa hapo ndio pa kujiongeza mwenyewe sasaMkataa kwao mtumwa, moshi wa Luangwa unahusika vipi?
"Lema na Liberatus", Kigogo2014 throught Twitter
We mchepuko wa gaidi japo jifunze kuheshimu viongozi wa dini hata kama si wa imani yako. Hivi bavicha mtakosa adabu hadi mfike wapi?Mimi si wa Buza natoka Mwembeyanga , kuhusu maana ya hoja yangu rejea Moshi uliomkuta Jiwe kule Rwangwa
Hawana kitu.Kwani nyie mliokuwa mnashangilia rais wetu Dkt Magufuli kuumwa enzi zile mlidhani ni sawa?? Nimemuona yule Mangi eti anasikitika Rais Samia kuumwa wakati ni mtu yuleyule alishangilia na kuombea kifo cha Dkt Magufuli kitokee. Na ndiyo maana hawa akina Mange vichwa vyao vinabei wakirudi tu bongo lazima wakatwe vichwa maana wafuasi wa Dkt Magufuli wana hasira sana nao
Usifike huko. Tukisema Kila mfuasi achukue hatua itageuka kuwa Vita vya wenyewe kwa wenyewe. Maana wafuasi wa Kila kundi ni wengi utakapomshambulia mtu basi jua kundi lake litalipiza kisasi.Kwani nyie mliokuwa mnashangilia rais wetu Dkt Magufuli kuumwa enzi zile mlidhani ni sawa?? Nimemuona yule Mangi eti anasikitika Rais Samia kuumwa wakati ni mtu yuleyule alishangilia na kuombea kifo cha Dkt Magufuli kitokee. Na ndiyo maana hawa akina Mange vichwa vyao vinabei wakirudi tu bongo lazima wakatwe vichwa maana wafuasi wa Dkt Magufuli wana hasira sana nao