Klabu ya Yanga imefanikiwa kumsainisha beki Djuma Shabani akiwa mchezaji huru Kwa mkataba wa miaka miwili.
Kulikuwa na tetesi kuwa huenda Djuma Shabani asingekamilisha dili hilo na badala yake angeelekea kunako Klabu ya Rs Berkane kuungana na kocha wake Florent Ibenge aliyejiunga na timu hiyo ya Morrocco akitokea AS VITA Club.
Pale Morogoro Mjini, eneo la MASIKA, ni makazi ya zamani ya legend wa YANGA wa kuitwa JUMA SHAABAN! Juma Shabaan alicheza YANGA ktk zama Mkoa wa MOROGORO una Ma-Star kn GIBSON SEMBULI, JELA MTAGWA, ADAMU SABU, JUMA MLAPAKOLO kuwataja wachache!