barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,378
- 29,739
Asante kwa taarifa Mkuu.. Na Simba Day Ifike Mapema.
Sasa simba day itakuwa shwaaaariiiii, majirani wamejificha baada ya kuukalia jana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa taarifa Mkuu.. Na Simba Day Ifike Mapema.
Saa simba day itakuwa shwaaaariiiii, majirani wamejificha baada ya kuukalia jana!
samahani mkuu kwa kutoka kwenye mada, hawa kampuni ya jumia wameweka simu ambayo ni inactive najaribu kuwapigia ili nipate jezi simu haipatikani. wasitue watuwekee active namba tupate huduma hiyo
Mkuu unajua huu ni utaratibu mpya, hivyo mwanzo hua mgumu.. Kesho nitafuatilia then nitakuja na jibu.
Kesho pia kuna mechi kati ya chama letu la msimbazi na polisi zanzibar tutajuzana wakuu msijali
mwenye update ya mavugo kuja simba atujulishe maana kuna gazeti limeandika leo kuwa kayeyuka?