PICHA: Sajuki shavu dodo, sasa Mungu mkubwa

Kusuka nywere ndio Uanaume!?....
usinitafutie ban mtu wangu,ila just know huwa unajifanya unajua mengi na mstaarabu, kucrash idea za watu bila kujitambua unaongea pumba square,heshimu mawazo ya watu siyo unajibu kwa kauli za kuamsha hasira za watu.
ukweli ndo huo ufanyie kazi.
i'm out
 
Kwa Style hii wamekufa watu wengi sana kwa kukosa. Pesa/huduma bora

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kwa Style hii wamekufa watu wengi sana kwa kukosa. Pesa/huduma bora

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Ndio maana nashangaa Watanzania tunakubali kupigwa porojo kwenye swala la afya zetu, ni kwa nini serikali isinunuwe vifaa muhimu ili na wao watibiwe hapa hapa Tz?
 
Huyu matola ana upimbi flani wa kibush halafu anajichukulia mjanja kumbe boya!
 
kweli tuishi kwa kumshukuru mungu kwa kila jambo,kwa jinsi afya ya jamaa ilivyokuwa mmh!
 
Jamaa kapata nafuu Mungu mkubwa.
 
uzalendo ulioonyeshwa na watanzania kusaidia watu uendelee hivo hivo
 
Kweli kabadilika ndo maana Rais mstaafu wa Afrika Kusini alisema ukimwi ni umasikini
 
insha a llah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…