Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kusuka nywere ndio Uanaume!?....Uanaume..then rudi kwenye topic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusuka nywere ndio Uanaume!?....Uanaume..then rudi kwenye topic
usinitafutie ban mtu wangu,ila just know huwa unajifanya unajua mengi na mstaarabu, kucrash idea za watu bila kujitambua unaongea pumba square,heshimu mawazo ya watu siyo unajibu kwa kauli za kuamsha hasira za watu.Kusuka nywere ndio Uanaume!?....
Pumba Express!!
Ndio maana nashangaa Watanzania tunakubali kupigwa porojo kwenye swala la afya zetu, ni kwa nini serikali isinunuwe vifaa muhimu ili na wao watibiwe hapa hapa Tz?Kwa Style hii wamekufa watu wengi sana kwa kukosa. Pesa/huduma bora
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Niliskiaga uyu Wastara naye alipata ajari,akakatwa mguu...ni kweli hii ishu?
Niliskiaga uyu Wastara naye alipata ajari,akakatwa mguu...ni kweli hii ishu?
Huyu matola ana upimbi flani wa kibush halafu anajichukulia mjanja kumbe boya!usinitafutie ban mtu wangu,ila just know huwa unajifanya unajua mengi na mstaarabu, kucrash idea za watu bila kujitambua unaongea pumba square,heshimu mawazo ya watu siyo unajibu kwa kauli za kuamsha hasira za watu.
ukweli ndo huo ufanyie kazi.
i'm out
Huyu matola ana upimbi flani wa kibush halafu anajichukulia mjanja kumbe boya!
Huyu matola ana upimbi flani wa kibush halafu anajichukulia mjanja kumbe boya!
mh mungu ni mwema jaman siku zoote!
Pumba Express!!
Kweli kabadilika ndo maana Rais mstaafu wa Afrika Kusini alisema ukimwi ni umasikini
insha a llahsifa zote njema ni za mwenyezimungu mola mlezi wa viumbe vyote, yeye tu ndio tunamuabudu na yeye tu tunamuomba msaada na alitakalo ni kun fayakun. Inawezekana kwani asichokiuwa mungu binadamu hawezi kukiua kabisa. Inshallah twakutakia kila la kheri uzidi kupata nafuu na urudi kwenye kazi zako. Ila nakupa ushauri mmoja tu usiache kumshukuru allah na kumsujudia kila wakati. Na pongezi sana zimuendee mkewe wastara juma kwa kuwa na subra na mumewe na kumuuguza kwa dhati, mwenyezimungu awajaalie maskizano na upendo katika ndoa yao. Amin