Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
So colabo ni ya jenifa ropezi na sio jlo wa usa •au alimaanisha sintah mana nasikia naye anaitwa jlo
nashangaa why i'm late kuona hii reply
Sasa jlo wa sinza alikua anataka shilole assifanye na jlo wa hollywood`?Jeniffer Ropezi wa USA...maana hata hiyo Jeniffer Lopez ilivokuwa inatamkwa....
si ndo kisa cha kugombana na Jlo wa bongo(Sintah) hadi katika take one akaongea ile mbaya
Kuna watu wana Appetite!!...
Sasa jlo wa sinza alikua anataka shilole assifanye na jlo wa hollywood`?
Shilole anatafuta umaarufu kwa lazima,mara aweke six adds za tumboDont Worry .....
Shilole anatafuta umaarufu kwa lazima,mara aweke six adds za tumbo
Sijui hata nyimbo zake pia nimemjua kwa skendo yeye na Sinta na show za fiesta youtubemie hata sijuagi nyimbo zake....nimemfahamia kupitia skendo tu...we unajua nyimbo zake
NIMEKUPM uko
Sijui hata nyimbo zake pia nimemjua kwa skendo yeye na Sinta na show za fiesta youtube
nishakujibu i'm just waitin
she is just attention seeker,hahaa kumbe wewe ni kama mimi tu.....mi sijuagi singo yake hata moja....na sitaki kuzijua tu
Nimeiona.....am also waiting....
Shilole hajiheshimu na hajawahi kujiheshimu we cheki aina za interview anazozifanya luningani aibu tupu.Tatizo la kukosa shule afu mtu wa kushika mia mia mia mbili mia mbili ukishika laki 5 akili zinapaa kabisa.Alitakiwa ajiheshimu sana.Amesahau alipotoka housegirl,kuuza genge.Afu katika wasanii washamba wasiojua kuvaa Shilole anaongoza anavai kiswazi sana am sorry to say this house girl is always housegirl habadiliki mavazi afu kanajionaga kazuuuuriii mbutananga!!!!
she is just attention seeker,
waiting also now
Nimesoma sehemu flani kuwa kuna wimbo wake kafanya na Jennifer Lopez a.k.a Jlo. Utatoka mwezi ujao.
Jamaa letu, Lifisi likiona hizo picha, lazima aukwae Ukuu wa Wilaya.
Shilole hajiheshimu na hajawahi kujiheshimu we cheki aina za interview anazozifanya luningani aibu tupu.Tatizo la kukosa shule afu mtu wa kushika mia mia mia mbili mia mbili ukishika laki 5 akili zinapaa kabisa.Alitakiwa ajiheshimu sana.Amesahau alipotoka housegirl,kuuza genge.Afu katika wasanii washamba wasiojua kuvaa Shilole anaongoza anavai kiswazi sana am sorry to say this house girl is always housegirl habadiliki mavazi afu kanajionaga kazuuuuriii mbutananga!!!!
hahaaaaaa na we unataka kuwa treated hivyo...