amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,132
- 31,149
mbutaaa shilole mzuri wewe c anajiona wewe ile shepo utailinganisha na zile za kilemakyaro???? Ila ajirekebishe then stop insultn housgalz
ha ha hujaona wazuriiii wewe poleeee na naona unalinganisha na kina manka ha ha ha mie tu huyo huyo bibie namtoa knockout na hukuona sehemu nlisema am sorry to say this before that you called an insult?ajirekebishe tofauti iwepo kabla na baada asiforce mambo yeye kama anataka mambo hayo ajiunge kucheza khanga moko ijulikane moja