PICHA - Shooting ya filamu ya MY DREAMS

PICHA - Shooting ya filamu ya MY DREAMS

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Ikiwa katika maandalizi ya mwisho ya kurekodiwa movie inayokwenda kwa jina la MY DREAMS, Mastar kibao walioshiriki katika movie hiyo wamejikuta wakitambiana kila mmoja akisema atamfunika mwenzake wakati wanapiga picha za cover katika studio ya Raqee kama zinavyoonekana.Irene Uwoya ndiye anayeonekana kuwa kinara wa movie hiyo lakini kuna msichana anayejulikana kwa jina la Rose Ndauka yeye amesema aongei kitu ila watu watajionea nini kafanya kwa upande wa Johari yeye amesema safari hii amekuja na style mpya kabisa itakayomzolea sifa na ikiwezekana akafanya kweli kama alivyoigiza kwenye movie hiyo RJ COMPAMY

WATANZANIA na wadau wa Movie za Kibongo kaeni mkao wa kula kwani movie hii itaingia mtaani kwa kishindo... Pateni mipicha ya maandalizi ya movie hii
DSC00379.JPG


DSC00802.JPG


DSC00401.JPG


DSC00395.JPG


DSC01335.JPG


DSC01302.JPG

VCD%2BCOVER_PT1.jpg
 
Tatizo la waigizaji wetu, wanapenda kuigiza kama wazungu (Kulana denda na kukaa nusu uchi) lakini uzarendo unawashinda wanafanyana kweli.
 
hivi kwa nini movie za kibongo nyingi zina maudhui ya watu wenye class ya juu?

nafikiri watizamaji wengi zaidi hawako katika class hiyo, isnt it better kufanya movie itakayogusa maisha ya watu wengi zaidi?

just sayin'
 
hivi kwa nini movie za kibongo nyingi zina maudhui ya watu wenye class ya juu?

nafikiri watizamaji wengi zaidi hawako katika class hiyo, isnt it better kufanya movie itakayogusa maisha ya watu wengi zaidi?

just sayin'

Hata mimi nimekuwa nikijiuliza the same question, hivi ni wanafunzi wa ngapi wa vyuo vikuu veytu vya bongo wanaenda na magari chuo, hivi mbona haigizi movie zenye maudhui ya kuaddress issue za watanzania kama wanavyofanya akina Leleti Khumalo? angalia picha zake kama Yesterday, Sarafina, Invictus, nk. Bongo kuna topic kibao za kuigiza na zingewapa heshima kubwa sana hata hizi kasheshe za akina Kakobe mjanja akitengeneza script nzuri unatika na bonge la movie, Matatizo ya bodi ya mikopo na wanvyuo, Skendo zote tunazozisikia ni movie tosha.

Alfu move za wenzetu unakuta aliyetunga hadithi (kitabu ni mwingine) anayeandika script ni mwingine, director mwingine, star mwingine na ndio maana unaona imetulia maana kuna kukosoana na kurekebishana. sasa hawa movie ya kanumba kila kitu yeye, kama ya Ray basi hivyo yy mwenyewe ni mtunzi, script yeye mwenyewe, mwongozaji yeye, na star yeye tena, ndio maana zinakosa mvuto kabisa. Mtoto wa shule ya sekondari makongo wanmuweka Johari (sekondari gani hiyo tanzania hii) hata mikunyanzi ya usoni inaonyesha huyo kavuka mipaka ya kusoma na tayari kawa used. hawasikiii hawa
 
Tatizo tunaiga sinema za nje na tunataka kuishi maisha tunayotamani kwenye movie , achilia mbali muozo wa quality, soundtrack na mengineyo mengi tatizo ukisema wanasema unachonga sana lakini suala ni kujenga na kutengeneza movie ambazo zitacompete there is a lot of potential in this industry regardless of being so disorganized and unprofessionally managed
 
Kibongo bongo tu njia za mkato nyingiiii, kila kitu wenyewe hahaha ndo maana hata quality ya muvies zenyewe ni ndogo sana
 
Dah Huyu Uwoya kwa vivazi vyake mie nadhan sometimes anakuwa anawakwaza hata mashooter wa movie....kama yaleeee kupiga picha warembo kwenye fukwe......
 
Kuna tatizo la abusive parents
Kuna suala la Umasikini
Matatizo ya house girls
Watoto wanaozaliwa na ukimwi
 
Haya sisi yetu macho nitajaribu kuicheki hii .....tatizo kubwa ni kuwa hawa watunzi wa hadithi hawaumizi vichwa kufanya ubunifu wao binafsi wamebakia ku-copy na kupaste ...
 
Sio utunzi pekee bali hadi editing zenyewe hazina "creativity ya kutosha"
 
Dah Huyu Uwoya kwa vivazi vyake mie nadhan sometimes anakuwa anawakwaza hata mashooter wa movie....kama yaleeee kupiga picha warembo kwenye fukwe......

hahah husband wake sijui huwa anajisikiaje ?😉
 
Back
Top Bottom