tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Binamu sikio lako mbona zito kama kontena la AMI?
Unataka mpaka tuje kusutwa hadharani?
Kwani pacha wa Maimatha Jesse ni nani?
Unaniudhi sasa
Wake mwenyewe,afanye anavyotaka amfungie ndani hasa watu wasimuone mbona kasema mapema sana? angesubiri mpaka afike 25 ndio aseme...
Walitoleana siri baada ya kugombana c unajua tena urafiki Wa mujini, sasa sijui Na huyu mama ubaya atamsomesha
Kuna siku walikuwa wanagombania bwana na Dan mtoto Wa mama
Kama umenipenda njoo pm tumalizane , utapata majibu yote ya jinsia yangu
Wambea wenzengu Kenya, Uganda na Tanzania mpoo? Naona mnajifanya mko busy mpaka jumapili manina zenu ebu njoon uku tupige umbea bwana
Mwanaume huwezi kuwa mbea hivi.
miswahil bhn...wameshamvalisha mtt hirizi
Wee usiniambie kazaa na ngasa? Nyie huyu snura kiboko, jamaa c kaoa yule??..
Kweli mtoto w kichaga anapakatwa mpka ndoa mbna majanga,kuna cku alikuja mahali masai club na madem flani tuliwaita akawa anaturembulia tukamtoa nduki fasta
Halafu huwa hanaga soni mwanaume mwenzenu yule.
Ila nahisi kama anaanza kufulia.
Maana swagger za sahivi si kama za enzi zile.
Mwanaume pozi utadhani akidindisha anamwaga dhahabu, kumbr shahawa tu kama za bwana angu
Yule c mwanaume mana hata harufu y kiume hana