prince john john
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,184
- 3,369
Duuuuuuuuh umeshaona ajira hiyoNamkojolesha mke wangu kila Siku,kama kuna mwingine anataka na yeye aje pm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuuuuuh umeshaona ajira hiyoNamkojolesha mke wangu kila Siku,kama kuna mwingine anataka na yeye aje pm
.'KUKOJOA' kwa wanawake ni jambo adimu sana duniani! Nani anabisha?!
Unaweza kudhani ni jambo rahisi lakini sivyo. Tafiti mbalimbali zimebainisha kwamba ni wasichana/wanawake wachache sana hufikia mshindo wanapofanya tendo. Yaani kuna wengine ndio hawajui hata ni nini.
Nadhani ndo raha inavyowaingiaHivi wakifikaga lazima wafunge macho na kuweka sura mtu alae ndimu?
Hii ipo mara mbili.
Orgasm na ejaculation.
Nakosa maneno yasio tata ya kiswahili, wabobezi watusaidie. (kumwaga/ kufika kileleni)..
Hyo ya kwanza kwenye orgasm sio kama ulivoeleza,
Kuna ile hali mwanamke anakuwa anatoa fluids wakati wa tendo na hyo sio orgasm.
Akishafika orgasm wengine huwa wanapoteza nguvu Au stamina kwa muda
Waambie haoKumla mtoto wa watu tuu bila kumpa exact raha unayoipata wewe ni udhulumati na ubinafsi mkubwa, wanaume wenzangu badilikeni.
Umeelezea vizuri sanaHii ipo mara mbili.
Orgasm na ejaculation.
Nakosa maneno yasio tata ya kiswahili, wabobezi watusaidie. (kumwaga/ kufika kileleni)
squirting/Orgasm : Hapa mwanamke hutoa maji maji yasiyo na harufu yoyote na anaweza enda mara nyingi kwa tendo moja kadiri unavyofikia sehemu husika na uimara wako.
Ejaculation : Hutoa shahawa nyeupe nzito karibia na za kwetu. Hii ni kiwango cha juu kabisa cha furaha kwa mwanamke.
Unaweza mfikisha mwanamke kirahisi hapa kama una stamina na mara nyingi huwa wanaejaculate mara moja kwa tendo kutokana na sababu mbali mbali.
Ina raha yake kumfikisha mkeo hapo, unajiona bonge la bwana, Unaombwa hata msamaha kama mvua ikinyesha.
Inasemekana wanawake walio wengi wamefikia orgasm na sio ejaculation. au hawafiki zote kabisa.
Kikubwa ni kumpenda mkeo, kumjua, kuandaa mazingira na maadalizi yake mazuri na kuwa na stamina ya kukutosha.
Kula sahihi na zingatia mazoezi. You are waht you eat.
Nyie wakulima mnashida sana .nani kasema kumkojoza Mwanamke nimpaka uwenamanguvu yakulimia ?Hapo ndo utakapoona wanaume wa Dar wakijitetea oooh mwanaume pesa na sio mashine kumbe wanaficha udhaifu
Watakuja kukejeli, nawangoja.Waambie hao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umeua miss..ujinga tu.toeni hela muone kama hatutakojoa hata debe
Nimejifunza vingi sana..! Nitafanyia kazi kila kimojaMkuu nikuombe ukifanyie uchunguzi vizuri ulichoandika, utaelewa vizuri nilichokiandika.
Sijamaanisha maji maji kama kilainishi, maana natambua hizo fluids ambazo hata sisi tunatoa wakati wa maandalizi. Bali fluid ambayo inatoka kwa wingi na presha once anapokua amefikia kiwango flani cha msisimko. hii fluid inakua colorless. then ipo hio nyingine inatoka with same pressure but inakua nzito and a bit whitish kwa mbaali.
Anyway, umri ushantupa mkono, I shouldn't be saying these stuff here.