Picha:Tajiri namba moja lakini anaishi kawaida kabisa

Nadhani hapo anasalimiana na mkuu wa mkoa wa Mtwara.
Kwa hiyo Tajiri namba moja Afrika,anasalimiana
na mkuu wa mkoa wa mtwara uliopo nchini Tanzania,afrika mashariki.
 
Dangote kiumri tayari yupo juu. Yafanishe maisha yake na ya watu wa umri wake. Watu wa umri wake hata hapa kwetu ndio maisha wanayoishi, hawana complications katika uvaaji, simu na vitu vingine vya ki-lifestyle. Usifananishe maisha yake na vijana. Siku zote vijana wanapenda kuwa na maisha ya kutaka kumiliki vitu vikubwa. Mfano mzuri ni celebrities wa nje.
 
Ujinga ni kutaka mtu aishi kwa maoni yako. Tena ujinga zaidi ni kutaka mtu aishi unavyotaka wewe. Ujinga kabisa ni kutaka kila mtu aishi kama wewe na ikiwa aishi kama uwazavyo basi unataka kumkosoa!

Wewe unaishi kwa mawazo ya nani? Kuna mtu anakupangia nguo za kuvaa n.k? Wacha majungu
 
Hivi unajuaje kuwa hiyo simu si moja ya hizi hapa chini? Simu kama Vertu Diamond ni kidogo hivyo hivyo ila bei yake ni US $ laki kadhaa. Sasa wewe njoo na sijui Iphone 7 au Samsung Edge 64Gbts,utaaibika.

Ukubwa wa suruali siyo..... Ahhhh Watoto hawajalala bado.




 
Huyo mama anamwona jamaa wa pembeni hapo kama kauzibe...

anatamani tu jamaa asepe ili aongee na Dangote vizuri.
 
Kila mtu Na lifestyle yake jombaaaaa
 
Mtoa uzi isiwe unatoa maneno makali sababu ya njaa, weka wallet yako mezani kwanza ndo mazungumuzo yaendelee.
 

Well said mkali wangu
 
Hapo akitaka mwanamke yeyote anamchukua tu.
 
Wabongo mnavisa, choose your life style..... ndo maana tunakuwa mabonge siku hizi bila sababu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…