Picha:Tajiri namba moja lakini anaishi kawaida kabisa

Wanyewe wanasema kutumia pesa hivyo na kwa vitu visivyo na msingi c utajiri bali ni kukimbilia umasikini ,
 
Mkuu umegusi point zote atakeyebisha aendelee tu ila ni kweli.
Ni kweli jamaa kamwaga point sana,ila kwenye point ya kwanza pana taabu.Masikini anatamani kuwa tajiri ili aweze kutatua shida zake.Iwe sasa masikini aamini kua utajiri ni chanzo cha matatizo?
 
Umemaliza mzazi.... Kwisha kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…