Pre GE2025 Picha: Tangu aingie bungeni mwaka 2020 Fred Lowassa ametoa michango 2 tu kwenye vikao vya bunge. Huyu anafanya nini bungeni?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

McLaren

Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
53
Reaction score
78
Wakuu,

Naombeni kueleweshwa huyu mtoto wa Lowassa, Fred Lowassa anafanya nini bungeni maana tangu ashinde Ubunge wa Monduli mwaka 2020 ameuliza swali moja tu?

Ukifungua website ya bunge inaonesha huyu baba tangu mwaka 2020 kauliza maswali mawili tu.

Mtu kama huyu ana impact gani kwenye vikao vya bunge? Kwanini bado anapokea posho na mishahara inayotokana na kodi za wananchi?

Soma pia: Mtoto wa Rais Samia, Mbunge wa viti maalum Wanu ana mchango 0 toka aingie bungeni 2020. Huyu kwanini bado anapokea mshahara?

Kwa kifupi tangu mwaka 2022, Fredy hajatoa mchango wowote bungeni. Kwa hiyo anaingia bungeni anapigwa kiyoyozi , kikao kikiisha anapokea 600,000 huyo anaondoka.



Wana Monduli, inabidi mjitafakari sana kumrudisha huyu baba bungeni.

Ni aibu sana!
 
Wale wale wanaoupata ubunge kwa connection
 
Kuna kytoa michango na kuwa influence kwenye Serikali ukiwa jambo lako....kuna wakati wabunge huandika proposal au waraka kw waziri husika na hujibiwa na kupewa ajadi au fund.....huyu ana accesss naxwatawala.....ingawa kama mefia inataka asikike akiongea ni suala lingine....
 

Hao wanaoto michango hawana tofauti na wasiotoa. Michango ya Kusifia Maza anaupiga mwingi si bora kukaa kimya tu. Vilevile Bunge la Tanzania kazi yake ni kubariki kazi za serikali ... ndiyo lilivyo designing.
 
Ndio shida ya kupeana nafasi kwa majina
 
Hahaha naona mmewammulia
 
Wazee wa kupita bila kupingwa
 
He belongs to the cohort of elite offspring, much like Ridhiwani, so it would not be unexpected if he re-enters Parliament. Recall that his entry was facilitated by Magufuli's influence following his father's return to CCM.
 

Yeye kujuana na watawala sio sababu ya yeye kutokuchangia kwenye vikao.
 
He belongs to the cohort of elite offspring, much like Ridhiwani, so it would not be unexpected if he re-enters Parliament. Recall that his entry was facilitated by Magufuli's influence following his father's return to CCM.

Now it all makes sense but regardless two questions in a span of 5 years is insane.

There are tonnes of MPs whose "entrance" have been "facilitated" by Magufuli but they are atleast trying to show that they deserve to be there.

I cant of think of any reason why an MP would stay dull in 3 years
 
Hao wanaoto michango hawana tofauti na wasiotoa. Michango ya Kusifia Maza anaupiga mwingi si bora kukaa kimya tu. Vilevile Bunge la Tanzania kazi yake ni kubariki kazi za serikali ... ndiyo lilivyo designing.
Hii kazi ya bunge la Tanzania ndio iko hivi kwenye katiba?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…