Lambardi
Platinum Member
- Feb 7, 2008
- 18,813
- 21,830
Sababu kuuubwaaàmambo yote aliotumwa na wananchi yanaenda...Yeye kujuana na watawala sio sababu ya yeye kutokuchangia kwenye vikao.
.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sababu kuuubwaaàmambo yote aliotumwa na wananchi yanaenda...Yeye kujuana na watawala sio sababu ya yeye kutokuchangia kwenye vikao.
Umesema kweli sana! Jiwe alikuwa wa hovyo sana!Ila ile dhambi magufuli aliyoifanya 2020 itaitesa sana nchi
vipi dhambi ya kumuua kiongozi akiwa madarakani?Ila ile dhambi magufuli aliyoifanya 2020 itaitesa sana nchi
kumuhukumu kwenye vikao vya bunge vilivyo live tu ni kumuonea bila takwimu. Tupe wasitani wa michango kwenye vikao vya bunge kwa wabunge wote. kisha tupe takwimu ya aliyechangia mara nyingi na aliyechangia mara chache. ili tupime wenyewe uhalali wa kumshutumu mbunge!Hoja imejikita kwenye vikao vya bunge sio kamati!
Halafu bado anaitwa honourableWakuu,
Naombeni kueleweshwa huyu mtoto wa Lowassa, Fred Lowassa anafanya nini bungeni maana tangu ashinde Ubunge wa Monduli mwaka 2020 ameuliza swali moja tu?
Ukifungua website ya bunge inaonesha huyu baba tangu mwaka 2020 kauliza maswali mawili tu.
Mtu kama huyu ana impact gani kwenye vikao vya bunge? Kwanini bado anapokea posho na mishahara inayotokana na kodi za wananchi?
Soma pia: Mtoto wa Rais Samia, Mbunge wa viti maalum Wanu ana mchango 0 toka aingie bungeni 2020. Huyu kwanini bado anapokea mshahara?
Kwa kifupi tangu mwaka 2022, Fredy hajatoa mchango wowote bungeni. Kwa hiyo anaingia bungeni anapigwa kiyoyozi , kikao kikiisha anapokea 600,000 huyo anaondoka.
View attachment 3261045
Wana Monduli, inabidi mjitafakari sana kumrudisha huyu baba bungeni.
Ni aibu sana!
Wewe ni Binti 2,000???Wakuu,
Naombeni kueleweshwa huyu mtoto wa Lowassa, Fred Lowassa anafanya nini bungeni maana tangu ashinde Ubunge wa Monduli mwaka 2020 ameuliza swali moja tu?
Ukifungua website ya bunge inaonesha huyu baba tangu mwaka 2020 kauliza maswali mawili tu.
Mtu kama huyu ana impact gani kwenye vikao vya bunge? Kwanini bado anapokea posho na mishahara inayotokana na kodi za wananchi?
Soma pia: Mtoto wa Rais Samia, Mbunge wa viti maalum Wanu ana mchango 0 toka aingie bungeni 2020. Huyu kwanini bado anapokea mshahara?
Kwa kifupi tangu mwaka 2022, Fredy hajatoa mchango wowote bungeni. Kwa hiyo anaingia bungeni anapigwa kiyoyozi , kikao kikiisha anapokea 600,000 huyo anaondoka.
View attachment 3261045
Wana Monduli, inabidi mjitafakari sana kumrudisha huyu baba bungeni.
Ni aibu sana!