Pre GE2025 Picha: Tangu aingie bungeni mwaka 2020 Fred Lowassa ametoa michango 2 tu kwenye vikao vya bunge. Huyu anafanya nini bungeni?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hoja imejikita kwenye vikao vya bunge sio kamati!
kumuhukumu kwenye vikao vya bunge vilivyo live tu ni kumuonea bila takwimu. Tupe wasitani wa michango kwenye vikao vya bunge kwa wabunge wote. kisha tupe takwimu ya aliyechangia mara nyingi na aliyechangia mara chache. ili tupime wenyewe uhalali wa kumshutumu mbunge!
 
Halafu bado anaitwa honourable
 
Wewe ni Binti 2,000???
Maana unamuita Fredy "Baba" wakati me namuita "kijana".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…