zenmoster
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 951
- 202
mkuu hilo janga ni pamoja na kuchoma makanisa kama kawaida yenu? ama kutumia akili zenu vizuri kufanya maamuzi ya kimapinduzi zaidi dhidi ya serikali dhaifu ya ccm?Hilo janga linalofuata mungu pekee ndo anajua kitakachotokea.Ni wakati wa Waislamu kukaa chini na kuchukua maamuzi magumu uvumilivu ukizidi unainekana muoga