Wana jf, kuna simu feki mitaani zinauzwa zikionesha nje zina 64gb, lakini ndani wameka memory card ya 128mb. ndani kuna system ya kuchaji tu na hakuna betri ya kutoa kama tulivyozoea kwenye simu jingine. HII NI KWA TAHADHARI TU.
Wana jf, kuna simu feki mitaani zinauzwa zikionesha nje zina 64gb, lakini ndani wameka memory card ya 128mb. ndani kuna system ya kuchaji tu na hakuna betri ya kutoa kama tulivyozoea kwenye simu jingine. HII NI KWA TAHADHARI TU.