Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujamaa ulizidi.Picha inajieleza;Inasemekana hadi mama Maria alishawahi kumpiga huyu mama wa kizungu makofi maana aliona kama anataka kuleta za kuleta maelezo yapo kwa pichaView attachment 2557955
Urafiki ulishika hatamuPicha inajieleza;Inasemekana hadi mama Maria alishawahi kumpiga huyu mama wa kizungu makofi maana aliona kama anataka kuleta za kuleta maelezo yapo kwa pichaView attachment 2557955
Kufa usemwe...hii ndio TanzaniaVitu vingine tufanye research kabla ya kuandika uzushi WA kuchafua watu...
Mke yupi aliekuja kuwapatanisha?
Winnie Mandela?Graca Machel Mandela ?mwaka gani??
Manake Mandela kaja na Winnie wakati Rais ni Mwinyi.....na Ikulu yupo Mwinyi...Nyerere unasema kamrudisha Butiama..mama Maria kutokea wapi?msasani?? huyu Mzungu alimfata Nyerere msasani??
Sio kweli..mke wa Mandela yupi?Picha inajieleza;Inasemekana hadi mama Maria alishawahi kumpiga huyu mama wa kizungu makofi maana aliona kama anataka kuleta za kuleta maelezo yapo kwa pichaView attachment 2557955
Sio tu ni porojo bali uongo mkubwa..Vitu vingine tufanye research kabla ya kuandika uzushi WA kuchafua watu...
Mke yupi aliekuja kuwapatanisha?
Winnie Mandela?Graca Machel Mandela ?mwaka gani??
Manake Mandela kaja na Winnie wakati Rais ni Mwinyi.....na Ikulu yupo Mwinyi...Nyerere unasema kamrudisha Butiama..mama Maria kutokea wapi?msasani?? huyu Mzungu alimfata Nyerere msasani??
Ufutwe...Moderator futa huu uzi
Hakuna ukweli wowote
Tukianza na sisi kuchukua picha za watu na kuzitengenezea stori , haitokuwa sawa
Source ya hii habari ni wapi
Akihojiwa na Azam TV kwenye kipindi cha Zumari Kachero Bobezi aliewahi kuwa Waziri wa Utumishi na Utawala bora wakati wa Mzee Mkapa ambae pia alikuwa ndio Mwendesha mashtaka Mkuu wa kesi ya Uhaini 1983 Afande Tatu Ntimizi anasema kuna siku Mama Maria alipanda kinguvu kwny Msafara wa Baba wa Taifa akielekea DodomaSource ya hii habari ni wapi