Picha: Tunda na Husna Maulidi wakila bata

Mshana jr akipost story za uchawi mnasema vibaya hamuanin kua uchawi upo ila huku jukwaa la celebrity mnakuja kuukubali.
kumsema mtu kuwa anafanya starehe ni uchawi.waacheni wale asee.mwanamke mzr asiye na akil sehem zake nyeti ndo zinapata tabu.dunia kubwa bna huwezi kuimaliza
 
warumi davtor ndo nani?? Madaktari siku hizi badala ya kutibu wanapangia wanawake nyumba.. sijui mishahara yao haikatwi 15% ya bodi.
 
Huyo papuch anayo
Inampa kila anachotaka
 
Sema kapunguzwa spidi bila kupenda akijifungua tutaringishiwa mtoto mpaka account insta itafunguliwa kwa ajili ya mtoto.(caption english tupu)
Haa haa ndo mastar wetu wa bongo
Hao kuiga majuuu n.kawaida yao
 
Illusion tu izo! Hao watoto wanapanikisha tu wenzio uko kwenye mitandao na fake life.
 
Kipindi nipo Migomigo maskani nasugua benchi kwenye huu msururu wa ajira za kibongo i met few young guys ambao wamepata exposure hapa kibongo bongo. Swali langu kubwa kwao lilikuwa hivi hizi laki kadhaa wanazokutana nazo mara mara huwa wanazifanyia anything productive mf. Kujiendeleza kielimu,kufanya investment ndogo ndogo aiseee nilikuwa naangaliwa jicho la kebehi hadi nikaacha kuwahoji wakija skani 🙂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…