Picha: Tunda na Husna Maulidi wakila bata

kawaida sana... vijana ni kutafuta pesa matumizi unajipangia utakavyo..
 
Warumi angalia unaweza kuungua cancer. Ukifuatilia yawatu
 
Hapo lazima madawa ya husike tu kwa hizo chupa, mshahara wa mtu hautoshi kulipia,
 
Hahaha ilishawahi kunikuta hy Mkuu itabidi ni bushit kampani za kiboya simu zao.....oyaaaa leo bata wapi?
 
Huyu mwenye singlet ndio nani? Kifua chake kimependeza
 
Si mpaka mpate hyo fursa ya kuwaita mashemeji, mtawaonea wapi sasa, mtaishia kupiga puli na picha zao za insta[emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Natamani kuendelea kusoma comments za watu zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…