Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama kingurue🏃🏃🤣 Kabisa...mie hapa....nanenenepeana tu
Shida shapeWanawake hatunenepi tunanawiri tu
HapanaKama kingurue🏃🏃
Basi unanawiriHapana
SawaBasi unanawiri
Ndio mjaziane kwenye midela na matumbo kama mna mimba?Sawa
Yakiwa laini tuta..., Hivyo bora yawe magumuSi mnapenda yawe malaini
Hayo yana uzito tofauti,yako ya kilo 2.5,kwahiyo kulia na kushoto jumla inakuwa 5kg,sidhani kama itakushinda....Tubebe hayo unataka tufe
Ila mimi mwanamke akishakuwa na mkitambi kwakweli,yani huwa nahisi mwili kusisimka kama vile nimetembelewa na washawasha...Ndio mjaziane kwenye midela na matumbo kama mna mimba?
TusameheNdio mjaziane kwenye midela na matumbo kama mna mimba?
😂😁 kila shape ni shape lakiniShida shape