Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

Picha: Utata wa sura ya Mtoto wa Diamond

Huyo mtoto kwa umri wake ni ngumu kusema kafanana na hiyo njemba moja kwa moja.
Kuna uwezekano mkibwa akabadilika ama akawa na sura ha baba yake halisi au vinginevyo.
Kwa haraka haraka unaweza sema kafanana na hiyo njemba, ila ukichunguza sana utagundua zipo tofauti kadhaa, kwa mfano ukiuchunguza mdomo wa huyo mtoto ni sawa sawa na mdomo wa Mond, halafu anzia hapo hapo kwenye mdomo panda hadi puani eneo hilo linafanana kabisa na Mond, Chunguza macho yao hao wote watatu ni kama wanafanana hivi hivyo ni ngumu kusema mtoto karanda macho ya nani, lakini ukichunguza mashavu ya mtoto na hiyo njemba ni kama yametolewa photocopy, nenda kwenye paji la uso, huwezi kitofautisha kati ya mtoto na hiyo njemba, pua ya mtoto na hiyo njemba tofauti yake ni kwamba ya huyo njemba ni kubwa ila ya mtoto ni ndogo, kitu kingine ni kuhusu viini vya macho, hivyo viini vya macho ya mtoto ni kama vya Mond, angalia chunguza vizuri utabaini, jamaa viini vya macho yake ni vidogo vimeacha sehemu kubwa nyeupe ya jicho wakati Mond na mtoto wao viini vyao ni vikubwa vimeacha sehemu ndogo nyeupe ya jicho. Kitu pekee cha tofauti kwa mtoto huyo ni maoteo ya nywele ambayo si ya Mond wala hiyo njemba, maoteo ya nywele nadhani amechukua kwa mama yake Bi Zarina Hassani.

Nb: sehemu za uso alizofanana nazo mtoto na hiyo njemba kuna uwezekano mkubwa mtoto atakapofikisha umri fulani kubadilika wakati alizofanana na Mond haiwezekani.

Tuleteeni picha zinazoonesha sehemu za vidole vya miguu, vya mikono na masikio ili tupate ukweli, kufanana uso/rangi sio dalili ya kuchakachuliwa. Ogopa mwanao kufanana vidole vya miguu kama dole gumba, au masikio.
 
View attachment 474822
Mimi binafsi nimekosa cha kuongea kama diamond anaamini huyu Mtoto ni wa kwake basi hili limbwata sio La nchi hii, Ila huyu Ivan ana damu kali sana


Hapa kuna mawili.....la kwanza inaelekea Diamond hazai na ndiyo maana anapenda sana watoto wa kubambikiwa ili awaringishie mademu alioachana nao. Pili; inaelekea dogo alikosa malezi ya kulelewa na baba kwani watu wa dizaini hii uwa wanapenda sana kulea watoto.
 
Hapa kuna mawili.....la kwanza inaelekea Diamond hazai na ndiyo maana anapenda sana watoto wa kubambikiwa ili awaringishie mademu alioachana nao. Pili; inaelekea dogo alikosa malezi ya kulelewa na baba kwani watu wa dizaini hii uwa wanapenda sana kulea watoto.
So conclusion yako ni ipi
 
Hapa kuna mawili.....la kwanza inaelekea Diamond hazai na ndiyo maana anapenda sana watoto wa kubambikiwa ili awaringishie mademu alioachana nao. Pili; inaelekea dogo alikosa malezi ya kulelewa na baba kwani watu wa dizaini hii uwa wanapenda sana kulea watoto.
[emoji2] [emoji2] A na B yote majibu
 
Pole kw ww unaekalia kila sku ksem ya wenzko haf ya kwko hjui
Nasema ya wenzangu kina nani?? Kwani diamond maisha yake personal tungeyajuaje kama sio yeye kuyaweka public by the way wamesemwa macelebrity kibao itakuwa huyo diamond alafu kwenye ukweli usemwe Mtoto ni wa Ivan
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani mtu mapovu yanamtoka kutetea huku mwingine anazidi kukandia...hayo mapovu mtolee na kwenye familia zenu...
 
Watanzania wachache wasio na la kufanya waache kumdhihaki huyo mtoto wa mondi. Mbona nyie hamkupimwa DNA na wazazi wenu. Hivi wanfapi mnaweza kythibitisha baba zenu ndio hasa na sio wengine. Acheni kujadili familia za wenzenu chunguzeni zenu. Mtoto ni wa mondi fulstop
 
Kuna movie niliangalia Tajiri katongoza mke wa tajiri mwenzie, mke akamwambia mkewe mkubalie tupige pesa, Tajiri mtongozaji alipigwa tukio hajaamini kwa usirikiano wa mke na Mme. Hii muvi inasumbia akili yangu kuhusu hii couple
Mkuu umenikumbusha pia kitabu kmoja "black mamba" jamaa alimpeleka mke wake kwa lecture wa kizungu akawa anatembea naye ili wapige hela, imeandikwa na john luganda wa huko uganda kama sijakosea
 
Back
Top Bottom