Picha: Uthibitisho Mwijaku kutumiwa na TTB kutangaza utalii

Picha: Uthibitisho Mwijaku kutumiwa na TTB kutangaza utalii

Pale mwisho kwenye ile barua imesema hatua kali zitachukuliwa kwa yeyote kama sijakosea atakaye fanya kazi ya ttb bila kufata taratibu, sheria ili kupata ruhusa au vibali
 
Nani amemtuma kuitangaza

Hizi ndio akili za kimaskini, wazungu kibao wanaitangaza Tanzania na hawajatumwa na mtu mnaona sawa tu na kushangilia, akitangaza Mwijaku mtanzania mwenzetu kelele zinaanza. Sema nini, vijana wa kitanzania mna roho za ajabu sana na hii yote sababu ya kufatiliana na kutokuwa bize. Mtu yeyote ambaye muda wote yupo bize sana na biashara zake hawezi kuanza kuchukia eti Mwijaku katumwa na nani kuitangaza nchi. Acheni wivu wa KIPUMBAVU.
 

Hii video ukiiangalia ukiwa na chuki na Mwijaku utaanza kuponda tu. Ila hakuna cha ajabu alichokifanya, je mnajua waliompeleka walitaka afanye nini na nini!?,je Kuna kashfa katoa au sheria kavunja!?, watanzania wengine ni wa hovyo, watu mmejaa visirani tu na hii yote sababu ya kufatiliana na kutokuwa bize sana na mambo yako. Kipindi cha JPM niliwahi kumkuta mdada mmoja amevimba anataka kulia kabisa, nikamuuliza vipi mbona uko hivyo!?,akaniambia ana hasira kumuona Makonda kwenye Tv na kwanini hatumbuliwi😆, nikamuuliza akitumbuliwa wewe utapata nini?,asipotumbuliwa wewe unapungukiwa nini!?,majibu hana. Ninachokiona kwenye Jamii ingetokea Mwijaku akapata ajali ufaransa akakatika mguu kuna watu wangefurahia. Ndo roho za watanzania baadhi zilivyo.
 
Hii video ukiiangalia ukiwa na chuki na Mwijaku utaanza kuponda tu. Ila hakuna cha ajabu alichokifanya, je mnajua waliompeleka walitaka afanye nini na nini!?,je Kuna kashfa katoa au sheria kavunja!?, watanzania wengine ni wa hovyo, watu mmejaa visirani tu na hii yote sababu ya kufatiliana na kutokuwa bize sana na mambo yako. Kipindi cha JPM niliwahi kumkuta mdada mmoja amevimba anataka kulia kabisa, nikamuuliza vipi mbona uko hivyo!?,akaniambia ana hasira kumuona Makonda kwenye Tv na kwanini hatumbuliwi😆, nikamuuliza akitumbuliwa wewe utapata nini?,asipotumbuliwa wewe unapungukiwa nini!?,majibu hana. Ninachokiona kwenye Jamii ingetokea Mwijaku akapata ajali ufaransa akakatika mguu kuna watu wangefurahia. Ndo roho za watanzania baadhi zilivyo.
Kama kuna nchi raia wake kuwaongoza ni ngumu na wamejaa roho mbaya kuanzia mtàani Hadi kazini ni Tz.Nimezunguka nchi kadhaa za east Africa,mf Uganda,jamaa wakikuona unakitu kizuri kama ndinga Kali wanakupongeza halafu wajanja watakufata "imekuwaje ukatoboa aisee"huku bongo utasikia aaah Yule freemason,mara ameua mdogo wake mwezi uliopita.
 
Kama kuna nchi raia wake kuwaongoza ni ngumu na wamejaa roho mbaya kuanzia mtàani Hadi kazini ni Tz.Nimezunguka nchi kadhaa za east Africa,mf Uganda,jamaa wakikuona unakitu kizuri kama ndinga Kali wanakupongeza halafu wajanja watakufata "imekuwaje ukatoboa aisee"huku bongo utasikia aaah Yule freemason,mara ameua mdogo wake mwezi uliopita.
Ni roho mbaya tu ndo maana jamii imejaa mashindano ya kijingakijinga. Hiyo video ya Mwijaku haina tatizo lolote ila vijana wamechukia wanaona kama alikuwa anawatambia kuwa yupo Paris, kumbe mwenzao ametumia njia hiyo kuwafikishia ujumbe kama kuwatambia kuwa nipo Europe, basi nao wasivyo bize wamejaa kwenye laini yake. Baada ya kurudi nchini akiwa anahojiwa redioni akajibu wapi nilisema nimetumwa ufaransa na bodi ya utalii!?,kumbe yaleyale hata TTB walikurupuka tu. Akili na roho zilezile.
 
Wanaoona wivu Ndio wachawi hasa kama Magufuli. Mwijaku ni mbunifu anastahili kuungwa mkono. Tatizo wengi humu domodomo tuu hakuna akili. Muacheni Mwijaku hajavunja sheria yoyote.
 
Kutangaza utalii ni Ruksa kwa mtu yeyote acheni mambo za kizamani hizo ninyi TTB huyo jamaa simkubali ila anachokifanya kitaleta impacts huko mbele badala ya kuleta majibu kwa nini Uwanja wa Kilimajaro hauna umeme usiku mara mbili KLM imeshukia daslm na moja Uganda mnakuja na watu kujitolea kutangaza utalii nje makampuni makubwa yanatuma watu kwenye Exbihition Nje na wengine wanaenda tunaita door to door au kwenye taasisi kubwa na vyuo ninyi mpo na story za hovyo hovyo tu Raia wa Ghana ndio wenye makampuni ya Udalali ya Utalii USA wao ndio wanaitangaza Tanzania na wengi wao hata hawajai kufika wanakupa Wageni kwa kukukata mno njooni kwenye field ya Utalii na si kuzungumza mkiwa zenu ofisini muone Wageni wanavyopatikana mpaka kufika Serengeti sio swala dogo tuu kama mnavyodhania...
Huwa najiuliza sana inakuwaje tuna vitu vingi harafu kiwango cha Wageni hatufikii hata nusu ya Morocco au SA kumbe aina ya watu waliopo hapo kwenye Bodi ndio tatizo vitu vya msingi wao hata hawashughuliki navyo kabisaa wapo kwenye ujinga ujinga tuu...
 
Ni roho mbaya tu ndo maana jamii imejaa mashindano ya kijingakijinga. Hiyo video ya Mwijaku haina tatizo lolote ila vijana wamechukia wanaona kama alikuwa anawatambia kuwa yupo Paris, kumbe mwenzao ametumia njia hiyo kuwafikishia ujumbe kama kuwatambia kuwa nipo Europe, basi nao wasivyo bize wamejaa kwenye laini yake. Baada ya kurudi nchini akiwa anahojiwa redioni akajibu wapi nilisema nimetumwa ufaransa na bodi ya utalii!?,kumbe yaleyale hata TTB walikurupuka tu. Akili na roho zilezile.
Nimeumia sana niliwahi panda Ethiopian Airways kutokea JHB ile ndege ikipita anga la Arusha rubani anatangaza tunapita karibu kabisa na Mlima Kilimanjaro daah wageni wrote wanaamia upande wa kulia ili kupiga picha emu fikiria ndege ya Ethiopia na rubani wa Shirika hilo anatutangazia Utalii Watanzania bila kujua wakiangalia vile wengine wanavutiwa kuja kuona Live maana hawa Wabongo kwa chuki zao eti wanamuona jamaa anachekesha kama Bodi wanaona ni rahisi tu watoke ofisini waende wakaje na wageni hata sita tuu kila mmoja kwa season sio kuja na vitu vya kijinga jinga kwenye jambo la Msingi...
 
Hizo badge mbona ni delegation yote hupewa, as long as uko lwenye msafara unapewa
 
Hii Kama kajitengenezea itakula kwake, Ana operate management ipi? Hii nchi ni aibu sana aisee.
Unashangaa serikali ya CCM na utawala wake? Wewe angalia Mh. Rais wetu kaenda India na kundi la mawaziri 9 pamoja na Steve Nyerere, just imagine, mtu kama Steve Nyerere anaambatana na msafara wa Rais wa nchi huoni kama ni ukosefu wa nidhamu na kutojuwa majukumu? Steve Nyerere anaiwakilisha nchi yetu wakati hata michango ya rambirambi ya wasanii wenzake haiwakilishi kwa walengwa. CCM kwa kweli haijawahi kuwa serious na wananchi wake hata siku moja na ndiyo maana hatuwezi kuendelea as a nation under CCM rule, hata iweje.
 
Back
Top Bottom