Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Tena Grade 1. Mwingine huyo dogo kanyooshwa mikono juu, halau mshua ana Sprite na Panga juu ya meza. Noma sana.Huyo aliefungwa kilemba mzee wake lzm atakuwa anakula Cha Arusha[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]Muda mwingi mzazi wa kike (Mama) ndani ya nyumba ndio mwenye majukumu ya kuwaangalia watoto wadogo. Ila muda ambao mama anakua hayupo nyumbani basi baba ndio huchukua majukumu ya kuwaangalia watoto wadogo.
Lakini kutokana na experience kama baba, jambo hilo hua sio jambo jema (sio kwamba baba atawadhuru, ila kutokana na vurugu anazokutana nazo mtoto huyo).
Na hizi ndio sababu watu wengi husema "mtoto asiachwe peke yake na baba nyumbani".
Tupia picha zako.
View attachment 1357003View attachment 1357004View attachment 1357005View attachment 1357006View attachment 1357007View attachment 1357008View attachment 1357009View attachment 1357010View attachment 1357011View attachment 1357013View attachment 1357014View attachment 1357016
Huyo mbaba kwenye beseni anacheza game, amewasimamisha watoto kama ma waiter hotelini.[emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo mbaba kwenye beseni anacheza game, amewasimamisha watoto kama ma waiter hotelini.[emoji3]
Kwa jinsi alivoji "MWAMBAFY + UOGA WA KUANGUKA" hapo angani huyo mtoto, anaweza akajamba.Wakwangu tukiwa tunavinjari mitaa ya home.View attachment 1357127
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππππKama vile anajikinga na "CORONER VIRUS", halafu mtoto ametandikiwa magazeti chini kama anafunga zawadi.View attachment 1357289
Kama vile anajikinga na "CORONER VIRUS", halafu mtoto ametandikiwa magazeti chini kama anafunga zawadi.View attachment 1357289
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baba alivyonuna kama yupo kwenye kusubiri majibu ya vipimo vya Corona.View attachment 1391605
Pole na presha na taharuki ya UPEPO WA KISULISULI (Corona Virus) [emoji23][emoji3]
Ahsante ila unadhani Kuna kupoa..roho juu juuPole na presha na taharuki ya UPEPO WA KISULISULI (Corona Virus) [emoji23][emoji3]