Picha: Wabambwa na masanduku yenye mabunda ya fedha bandia nyumbani kwao!

Picha: Wabambwa na masanduku yenye mabunda ya fedha bandia nyumbani kwao!

Ghazwat

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2015
Posts
23,718
Reaction score
66,267
Kwisha zao..! Jeshi la Polisi limewatia nguvuni Bi Nancy Muthori na Bw. Joseph Muhayo baada ya kuwabambwa na masanduku yenye mabunda ya fedha bandia nyumbani kwao mtaa wa Ruiru, Kiambu nchini Kenya.
FB_IMG_1551267899667.jpeg
FB_IMG_1551267887724.jpeg
FB_IMG_1551267908685.jpeg
FB_IMG_1551267919008.jpeg
 
Wacheza movie wanaruhusiwa kutumia pesa bandia? Utengenezaji wa pesa bandia ni haramu Labda kama sheria za kenya kama zimeruhusu

Sent using unknown device
Hivyo ndivyo ninavyofahamu..Ndo maana nikauliza je wanahusika vipi na masuala ya movie na kutengeneza?
 
kama huu mzigo wangefanikisha kuuigiza mtaani, wangetoka maisha maana naona mi us dollar ya kutosha hapo
 
Safi sana


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Na mpaka issue inabuma lazima kuna katika kundi lao ameponyeza kwa polisi.
kama huu mzigo wangefanikisha kuuigiza mtaani, wangetoka maisha maana naona mi us dollar ya kutosha hapo
 
Leo dogo wangu dukani wamempiga ten moja fake!sisemi ni hawa but mzunguko wote mtaani wanaweza kuwa wanaufanya wao.

Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
 
Back
Top Bottom