nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,801
August 22nd 2013
MKUTANO WA CHADEMA MBEYA

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa jiji la Mbeya, katika mkutano wa hadahara wa Mabaraza ya Wazi ya kujadili rasimu ya katiba, uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Rwanda Nzovwe. (Picha na Joseph Senga)

at 1:58 PM
WEDNESDAY, AUGUST 21, 2013
WAKAZI WA GAIRO WAJITOKEZA KWA WINGI KWENYE MKUTANO WA BARAZA LA KATIBA
Posted by Chadema Blogtz at 12:02 AMNo comments: Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to Facebook
TUESDAY, AUGUST 20, 2013
TASWIRA : MIKUTANO YA MABARAZA YA KATIBA

Mheshimiwa Freeman Mbowe akiwa kwenye mkutano wa baraza la katiba Nzega.

Mh Freeman Mbowe akiwa Ngaruka kwenye mkutano wa baraza la katiba.

Mh Tundu Lissu akiwa Nzega kwenye mkutano wa baraza la Katiba

Wakazi wa Kasulu waliojitokeza kwenye mkutano wa baraza la katiba.