PICHA: Wananchi wengi wajitokeza kuomba ajira za muda za NEC. Kwa kweli kama nchi tumefika pabaya

PICHA: Wananchi wengi wajitokeza kuomba ajira za muda za NEC. Kwa kweli kama nchi tumefika pabaya

dikteta2020

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2018
Posts
595
Reaction score
3,991
Polisi wamelazimika kutawanya umati mkubwa uliojitokeza jijini Dar es Salaam leo kuomba ajira za muda za NEC.

Sisi kama taifa kusema kweli kuna mahali pakubwa mno tumeteleza. Hili sasa ni janga!

20201005_145948.jpg
 
Hii hali kila sehemu watu ni wengi wanapeleka maombi kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo,yani kuna tatizo kubwa la ajira watu wanasotea posho ya siku moja maisha yaende
na huku kwetu mpaka upate hiyo kazi ya NEC mpaka uwe na Kadi ya ccm ila hili halizungumzwi kwa uwazi ni siri ya mkurugenzi, kwa watumishi wa umma lazima upeleke na salary slip ya September
 

Attachments

  • Screenshot_20200924-111913.jpeg
    Screenshot_20200924-111913.jpeg
    39.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom