PICHA: Wananchi wengi wajitokeza kuomba ajira za muda za NEC. Kwa kweli kama nchi tumefika pabaya

PICHA: Wananchi wengi wajitokeza kuomba ajira za muda za NEC. Kwa kweli kama nchi tumefika pabaya

Ila mambo hata bn,huku kuna wilaya hadi ilitangaza Mara ya pili watu waombe maana walkua wachache
 
Hafu wanasiasa wakiwa majukwaani wanasema nchi yetu iko uchumi wakati, time create ajira laki moja
 
na huku kwetu mpaka upate hiyo kazi ya NEC mpaka uwe na Kadi ya ccm ila hili halizungumzwi kwa uwazi ni siri ya mkurugenzi, kwa watumishi wa umma lazima upeleke na salary slip ya September
Sasa huyo mtumishi ana kazi kwanini asimwachie huyo kijana asiyejua kesho yake
 
Hafu wanasiasa wakiwa majukwaani wanasema nchi yetu iko uchumi wakati, time create ajira laki moja
2540477_Screenshot_20200924-111913.jpeg
 
Hafu wanasiasa wakiwa majukwaani wanasema nchi yetu iko uchumi wakati, time create ajira laki moja
Sio wana siasa mkuu ni CCM
Wengine ni viongozi serikalini. Huwa nashangaa sana hivi huwa wana maanisha au wanajua fika kuwa wanatupiga fix
 
Hii hali ilivokua kwa jimbo la temeke
 

Attachments

  • IMG_20201007_014453_188.jpg
    IMG_20201007_014453_188.jpg
    100.3 KB · Views: 1
Unaweza kuta kwenye hizo foleni kuna watumishi pia wa serikali
 
Back
Top Bottom