EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Hao mataga ni mpya ya misukule sio?Hao waliombeba ni MATAGA,hata hayajui yamebeba kitu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mataga ni mpya ya misukule sio?Hao waliombeba ni MATAGA,hata hayajui yamebeba kitu gani
Salary slip!? Kwa matumizi gani?na huku kwetu mpaka upate hiyo kazi ya NEC mpaka uwe na Kadi ya ccm ila hili halizungumzwi kwa uwazi ni siri ya mkurugenzi, kwa watumishi wa umma lazima upeleke na salary slip ya September
KUTHIBITISHA KWAMBA HAJATUMBULIWASalary slip!? Kwa matumizi gani?
SongeaSo what??
ni tunachangamkia fursaPolisi wamelazimika kutawanya umati mkubwa uliojitokeza jijini Dar es Salaam leo kuomba ajira za muda za NEC.
Sisi kama taifa kusema kweli kuna mahali pakubwa mno tumeteleza. Hili sasa ni janga!
View attachment 1591112
Sasa huyo mtumishi ana kazi kwanini asimwachie huyo kijana asiyejua kesho yakena huku kwetu mpaka upate hiyo kazi ya NEC mpaka uwe na Kadi ya ccm ila hili halizungumzwi kwa uwazi ni siri ya mkurugenzi, kwa watumishi wa umma lazima upeleke na salary slip ya September
Hafu wanasiasa wakiwa majukwaani wanasema nchi yetu iko uchumi wakati, time create ajira laki moja
Mkoa gn huo mkuuIla mambo hata bn,huku kuna wilaya hadi ilitangaza Mara ya pili watu waombe maana walkua wachache
Hilo bango limemaliza kila kitu
Jane LowassaHalafu ukute jitu lipo bize linashabikia CCM
halafu lipo humo kwenye hilo kundi
RuvumaMkoa gn huo mkuu
Sio wana siasa mkuu ni CCMHafu wanasiasa wakiwa majukwaani wanasema nchi yetu iko uchumi wakati, time create ajira laki moja
Wilaya gani?Ruvuma