dikteta2020
JF-Expert Member
- Aug 14, 2018
- 595
- 3,991
na huku kwetu mpaka upate hiyo kazi ya NEC mpaka uwe na Kadi ya ccm ila hili halizungumzwi kwa uwazi ni siri ya mkurugenzi, kwa watumishi wa umma lazima upeleke na salary slip ya SeptemberHii hali kila sehemu watu ni wengi wanapeleka maombi kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo,yani kuna tatizo kubwa la ajira watu wanasotea posho ya siku moja maisha yaende
So what??Polisi wamelazimika kutawanya umati mkubwa uliojitokeza jijini Dar es Salaam leo kuomba ajira za muda za NEC.
Sisi kama taifa kusema kweli kuna mahali pakubwa mno tumeteleza. Hili sasa ni janga!
View attachment 1591112
Aibu kubwaHalafu anajitokeza mtu kala maharage yaliyo chacha, anasifia fly over na midege wakati hata hana uhakika wa kumpa dona dagaa hawala yake mjamzito kwa mchana mmoja.
[emoji23][emoji23][emoji23]Halafu ukute jitu lipo bize linashabikia........
halafu lipo humo kwenye hilo kundi
Polisi wamelazimika kutawanya umati mkubwa uliojitokeza jijini Dar es Salaam leo kuomba ajira za muda za NEC.
Sisi kama taifa kusema kweli kuna mahali pakubwa mno tumeteleza. Hili sasa ni janga!
View attachment 1591112
View attachment 1591150Uchumi wa kati FAKE.
Watanzania wengi uwezo wa kuchanganua mambo ni sifuri, hawaelewi hata chanzo cha matatizo yao.Halafu ukute jitu lipo bize linashabikia........
halafu lipo humo kwenye hilo kundi
Si kwa wasaka ajira tu, hata walio na ajira pia wana hali mby sana na wanapishana na wasaka ajira za muda huko NECHii hali kila sehemu watu ni wengi wanapeleka maombi kwenye ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wa Jimbo,yani kuna tatizo kubwa la ajira watu wanasotea posho ya siku moja maisha yaende
Mbona ni kama mbebwaji kavaa suti moja amazing sanaMagufuli for life![emoji1782] [emoji1782][emoji1782] View attachment 1591122
Hao waliombeba ni MATAGA,hata hayajui yamebeba kitu ganiMbona ni kama mbebwaji kavaa suti moja amazing sana
na huku kwetu mpaka upate hiyo kazi ya NEC mpaka uwe na Kadi ya ccm ila hili halizungumzwi kwa uwazi ni siri ya mkurugenzi, kwa watumishi wa umma lazima upeleke na salary slip ya September