Picha: Wanawake sasa hizi sifa mmezidi

Picha: Wanawake sasa hizi sifa mmezidi

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Habari!
Leo katika safari zangu nimekutana na mdada yupo na hii ndinga yake; imebidi nipishe kwakweli, maana sasa wanawake inaelekea mmeamua mbwai iwe mbwai!
IMG_20160709_111145.jpg
 
Kusoma najua lakini kuangalia picha nimeshindwa. Mwanamke kuendesha DEFENDER Tdi au?
Sasa wewe unaona swala dogo mwanamke atembelee hiyo halafu kuna wanaume wana passo na wamebandika L (leaner)?
 
Yes man.......nawafahamu wakinadada/mama mob wanaendesha magari "yakibishi". Arusha kipande hii kawaida....wadada/mama wakizungu wanavunja gia kama hawana akili nzuri. Wewe unaishi wapi? Dar? Kama ndivyo huko nadhani mazingira/mazoea yanamtaka mwanamke awe legelega kuanzia kimuonekano, ideas hadi mavazi na gari analotumia. Binafsi sipendi mwanamke/jamii inaongozwa na attitude yanamna hii. Mwanamke inatakiwa aonekane strong aendeshe chochote anachopenda...ndio life inaenda ivyo in this 21st century.
 
Sasa wewe unaona swala dogo mwanamke atembelee hiyo halafu kuna wanaume wana passo na wamebandika L (leaner)?
Hahaha mkuu umenichekesha,umenikumbusha ule utani wa wanaume wa DSM
 
Back
Top Bottom