Uchaguzi 2020 Picha wasizopenda kuziona Lumumba

Nilikuwa Tunduma hapo ni Chadema sio Mchezo
Wanaanchi WATUMTAKIIIIII JIWE ANATUTUKANA ETI KWANI UMESIMAMIA MKOJO? Baada ya mpiga kura kuomba barabara.
 
Kasemaje ?

By the way hilo tusi limrudie yeye mwenyewe
Kuna mpiga kura kaomba barabara, akamjibu KWANI UMESIMAMA KWENYE MKOJO?


MZEE ANA STRESS BALAA[emoji23][emoji23]
 
Unawashwa wewe, kwani hao hawakukusanyika kwa ajili ya cdm au ilikuwa ccm?
Hebu jaribu kufikiria kwa kutumia hayohayo mavi yaliyomo kichwa mwako.

Kama upinzani ungefanya siasa miaka 5 iliyofanya ccm hali ingekuwaje kwa ccm?
Miaka5 bila siasa, hata mwezi haufika mtiti ndiyo huo, mtajinyea mwaka huu.

MWIBA HUTOKEA ULIPOINGILIA
 
Mkuu huyo ana stress Kama mwenyekiti wake[emoji23][emoji23]
 
Watumishi wote na familia zao kura kwa lissu
Mimi nina ishi jirani na mapolice wanne huwaambii kitu wao ni CCM TU,
Kuna wafanyakazi wazemne ambao wakizoea kukaa ofisini wanavyotaka, muda wa kazi wai wako mitaani, sasa hao lazima wataona shida na ndio hao wasiopenda CCM maana wamebanwa.
 
USHINDI SIO LAZIMA AWE RAIS, HAPO ALIPO TU NI USHINDI.
URAIS AMWACHIE MAGU, YEYE AENDELEE NA ROPOROPO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…