Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Hata dereva wake nae kaona, Mzee baba kachokwaIpo na nyingine hapa. Wahaya sio watu wazuri, vidole viwili live bila chenga.View attachment 1572010
Kwenye huu huu mkutano wa Lema? Mbona siwaoni? au ni kungine?karibia watu kuanzia katikati wote walivaa ccm
Fikiria hapo angekuwepo na diamond je ingekuwaje?
Duh hahaahhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhNyomi la wanafunzi[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1571989
Mwenye ushawishi ni hiyo anayetugombeza?Hatuheshimu Sisi waajiri wake halafu anatarajia tumpe kazi?Big "NO" na atupishe maana hatumsukumizii tena.Mitano inatosha na twasema "Sasa Basi".Lisu hana ushawishi kabisa mbona iko wazi
Kwenye huu huu mkutano wa Lema? Mbona siwaoni? au ni kungine?
Mfua nguo hutakata mikono yake. weka hilo akilini mkuuMwenye ushawishi ni hiyo anayetugombeza?Hatuheshimu Sisi waajiri wake halafu anatarajia tumpe kazi?Big "NO" na atupishe maana hatumsukumizii tena.Mitano inatosha na twasema "Sasa Basi".
Hakuna kura ya wizi atachapwa kuliko za Dr SlaaHawa hawakulinda kura.
Lissu atahakikisha haibiwi kura.
Anacheka kama zuzu!!Nawasilimu wakazi wa JF!
Kuna picha zipo mtandaoni Lumumba wakiziona wanaumia mara mbili.
Hizi ni kama za Tundu Lissu akionesha Tabasamu lenye kuashiria Ushindi, Uso wa Lissu ni wenye furaha ya ndani kutoka kumoyo.
Hizi ni zile picha ambazo LISSU hatumii wanafunzi, Wasanii na kusomba watu kwa kuwapa elfu tano ili kujaza idadi.
Mama Nyerere aliongea wazi aliletwa kuongeza idadi hakuwa tayari kuja[emoji23][emoji23]
Basi naomba tuzitupie picha hapa, wakipaniki tunaongeza spana.
Ni yeye 2020.
Mbona kama "kalegealegea" hivi!!!Nawasilimu wakazi wa JF!
Kuna picha zipo mtandaoni Lumumba wakiziona wanaumia mara mbili.
Hizi ni kama za Tundu Lissu akionesha Tabasamu lenye kuashiria Ushindi, Uso wa Lissu ni wenye furaha ya ndani kutoka kumoyo.
Hizi ni zile picha ambazo LISSU hatumii wanafunzi, Wasanii na kusomba watu kwa kuwapa elfu tano ili kujaza idadi.
Mama Nyerere aliongea wazi aliletwa kuongeza idadi hakuwa tayari kuja[emoji23][emoji23]
Basi naomba tuzitupie picha hapa, wakipaniki tunaongeza spana.
Ni yeye 2020.
Piga wewe angle ya karibuHii mmeipiga angle ya mbali Sana ili watu waonekane wengi.
"Tutapiga kura na kuzilinda". Kauli hiyo IGP Sirro kaijibu kuweka mkwara mzito. NEC CCM boss wao amejibu na mkwara mkubwa, KWA NINI WANAOGOPA WATU KULINDA KURA ZAO?Dah.. hayo mafuriko si mchezo. So, kwa kuwa huko nyuma ccm walishinda kwa wizi, unafikiri wataweza kuiba miaka yote?!
Upendo na mahaba umekujaaKwa jinsi watz walivyo hodari wa kukusanya taarifa, wasingeshindwa kupata hata recorded voice au video fupi tu ya hilo tukio.
Kwenye hilo tumeingizwa mjini.
KivipU
Upendo na mahaba umekujaa
Kusikia kipenzi chako kazomewaKivip
Hakuna anayeweza kufanya hivyoKusikia kipenzi chako kazomewa