Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
Tutafika kweli anaetakiwa kukamata wezi nae mwizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sawa in a way kwa sababu hapo lazima angewawajibisha wakubwa kwa kutokuwa na nidhamu katika jeshi laoBy Default Rais anahusika....
Hapana, hao wamekata kamba..!!Ndiyo urefu wa kamba zao wafanyaje sasa?
Kuwa mwangalifu sana kwa sababu bado hawajatajwa mahali kama ni Polisi, Kwa sasa wanaweza kuwa ni washukiwa tu au wanasingiziwa kabisaHao POLICE watajwe hadharani, tuwajue.
Enzi zetu tuliamini matajiri wote wana VIPARA....
Uangalifu wa nini Mkuu sehemu zenye ulinzi vile wahuni bila ramani za wahusika na kupata back up kutoka watu hao ni ngumu kuiba watu waibe lita 4200 za mafuta watoke wapi hao kama sio hao hao...mbona pana kesi nyingi zinazowahusu wao na muda mwingine kuua kabisa au na wewe ni Njagu nini Mkuu...Kuwa mwangalifu sana kwa sababu bado hawajatajwa mahali kama ni Polisi, Kwa sasa wanaweza kuwa ni washukiwa tu au wanasingiziwa kabisa
Spot on!Kuwa mwangalifu sana kwa sababu bado hawajatajwa mahali kama ni Polisi, Kwa sasa wanaweza kuwa ni washukiwa tu au wanasingiziwa kabisa