Picha: Watangazaji E FM hoi taabani baada ya kusikia kuwa polisi ndio wezi wa vifaa vya ujenzi SGR

Picha: Watangazaji E FM hoi taabani baada ya kusikia kuwa polisi ndio wezi wa vifaa vya ujenzi SGR

Sasa hapo ndio mtamuelewa Trump kwanini alisema nchi za Afrika ni "SHIT HOLE COUNTRIES", polisi wanaiba vifaa vya ujenzi wa reli kwa faida ya nchi yao. Waafrika ni wapumbavu kuliko rangi zote hii kitu haingii akilini ukimueleza mzungu au mtu wa rangi ingine. Miafrika ndivyo ilivyo.
Kwa kweli hii ni aibu Tena kubwa
 
Wanufaika toka pande Mbili Kuanzia ndani kuja nje na nje kurudi ndani.
 
Kuwa mwangalifu sana kwa sababu bado hawajatajwa mahali kama ni Polisi, Kwa sasa wanaweza kuwa ni washukiwa tu au wanasingiziwa kabisa
Wao mbona wanatushika raia ht kabla ya utetezi haujafika nusu hatua,,
 
Sasa hapo ndio mtamuelewa Trump kwanini alisema nchi za Afrika ni "SHIT HOLE COUNTRIES", polisi wanaiba vifaa vya ujenzi wa reli kwa faida ya nchi yao. Waafrika ni wapumbavu kuliko rangi zote hii kitu haingii akilini ukimueleza mzungu au mtu wa rangi ingine. Miafrika ndivyo ilivyo.
Sisemi napita nitarudi baadae.
 
Hakuna cha ajabu kwani CCM imewahusisha polisi kwenye wizi wa kura hivyo maji hufuata mkondo
 
Back
Top Bottom