Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,813
- 11,540
- Thread starter
-
- #21
Kwa kweli hii ni aibu Tena kubwaSasa hapo ndio mtamuelewa Trump kwanini alisema nchi za Afrika ni "SHIT HOLE COUNTRIES", polisi wanaiba vifaa vya ujenzi wa reli kwa faida ya nchi yao. Waafrika ni wapumbavu kuliko rangi zote hii kitu haingii akilini ukimueleza mzungu au mtu wa rangi ingine. Miafrika ndivyo ilivyo.
Mpaka sasa wamekaa kimya imagineKiapo chao kitenguliwe wafunguliwe mashtaka
Kwamba unataka kukataa hawajaiba vifaa vya mradi au?Ni vyema ungeeandika hbr kamili kuliko kuleta headline za kitenge na ubunifu wake wa ziroooo
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Unatafutwa mlango wa kutokea na wa kuwabambika.Mpaka sasa wamekaa kimya imagine
Wao mbona wanatushika raia ht kabla ya utetezi haujafika nusu hatua,,Kuwa mwangalifu sana kwa sababu bado hawajatajwa mahali kama ni Polisi, Kwa sasa wanaweza kuwa ni washukiwa tu au wanasingiziwa kabisa
Hizi fikra nazo zinatufanyi hatufiki😂😂😂Huyo dada EFM yuko vizuri mtindi kama wote alafu huwa ana tabasamu kali... mwaaahhh
Nawao wana haki ya kula kwa urefu wa kamba tuache wivu, mbona waliosafirisha Wanyama pori hutaki watajwe majina yao tuwa jueHao POLICE watajwe hadharani, tuwajue.
Tume ya nini tenaIundwe tume ikachunguze
ngoja nirudi nikatazame picha tenaHuyo dada EFM yuko vizuri mtindi kama wote alafu huwa ana tabasamu kali... mwaaahhh
Wasimamishwe kama Hando , kulala kwao si msimamo wa EFM
umasikini na ujinga haujawahi kumwacha mtu salama.
Sasa tu wasije kuangushwa vitu vizito hapo walipo zirai🏃
Sisemi napita nitarudi baadae.Sasa hapo ndio mtamuelewa Trump kwanini alisema nchi za Afrika ni "SHIT HOLE COUNTRIES", polisi wanaiba vifaa vya ujenzi wa reli kwa faida ya nchi yao. Waafrika ni wapumbavu kuliko rangi zote hii kitu haingii akilini ukimueleza mzungu au mtu wa rangi ingine. Miafrika ndivyo ilivyo.
Baby mamaHuyo dada EFM yuko vizuri mtindi kama wote alafu huwa ana tabasamu kali... mwaaahhh
Aliruhusu kila mtu ale kwa urefu wa kamba yakeBy Default Rais anahusika....