Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Dickson Matata ndiye yule wakili msomi wa timu Kibatala kwenye kesi ya ugaidi wa Freeman Mbowe?
Huyo Dickson Matata kaomba Uenyekiti wa Kanda ya Magharibi, huku Joseph Mbilinyi akiomba nafasi hiyo Kanda ya Nyasa.
Swali ni Je Watatoboa?
NdiyeHuyu Dickson Matata ndiye yule wakili msomi wa timu Kibatala kwenye kesi ya ugaidi wa Freeman Mbowe?
Duuh, kama ndiye kumbe CHADEMA imebeba watu siku hizi
Ndio,nakuonea huruma konyagi za mwenyekiti zitakuuaHicho ndio kinakuliza?
Mimi sichukui pesa chafu za rushwa huko chademaHata wewe utapewa mgao inaonekana unapenda pesa za bure.
Karibu upakuliwe yakhe.
Ndio kawa kikongwe namna hiyoo, akaleeee wajukuuu. Fedha zinamumodoa mtu hazimzeeshi bwanaa. Alidhani biashara ya hotel ni nyepesi saaana.Hela hizo