Picha: Wazungu washindwa kuchomoa ndege iliyotua majini. Sisi tulivuta kwa kamba maisha yakaendelea

Buyaka

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2010
Posts
1,705
Reaction score
1,953

Dege la kivita limetua majini nchini Marekani toka Novemba 20, wiki mbili sasa. Ni baada ya rubani kupitiliza runway ya uwanja kama Precision ya Bukoba

Sasa wanasema wanahitaji mamilioni ya dollar kuichomoa, na ukisoma hiyo article bado wanajadili njia muafaka ni ipi

Sisi tulivuta kwa kamba the same freaking night.

Tukitulia tutakuja fika tu, ni watu wetu tunaowachagua ndio wanatuangusha tusisonge.

Yahoo News
 
Labda wamefanya tathmin gharama ya kuitoa itakuwa kubwa lakin pia yawezkana kwenda kuifanyia maintenance gharama kubwa zaid
 
Lengo la Uzi ni kujisifu kuwa sisi tumeivuta ndege kwa kamba na wamarekani wameshindwa kuivuta ndege yao kwa kwamba.

VUTA VUTA THREAD

KaziKweliKweli/JobTrueTrue

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji16][emoji16]
 
ushashiba michembe yako sasa unaanza kufananisha Tanzania na USA kwenye majanga na uokoaji..
 
Precision ilikuwa na ukubwa wa kubeba abiria ngapi na na hilo dege la kivita lina ukubwa gani? Tuanzie hapo kwanza
 
Wasubiri Majaliwa amalize kozi aende awasaidie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…