Picha: Wema Sepetu New looks


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah hapo mwisho!
 
Angalia wasije wakame up na moyo
wafanye mazoezi wacheze na diet ....
that is the best way they can do
 
Anahangaika tu,umri umekwenda,kilometa nyingi zimeenda
Ameyachezea maisha,sasa akili yake inamwambia akiwa kimbau mbau atarudi kwenye enzi zake
Wema alifanya pati baada ya kumtosa diamond
Wema allitupilia mbali murano aliopewa zawadi na diamond,akawa anatembea BMW
Sasa hivi hata wa kumpa boxer hamuoni
Na bado atafyeka mpaka komwe lile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…