Wema ni mzuri sana,shida yake ni akili yake,hajielewi,haendi na wakati,hajitambui,hata ukisema umuoe ni majanga sana huyu dada,angetulizana na mambo ya attention,ingemsaidia sana ku add value yake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni ke mwenzako
Wema ni mzuri sana,shida yake ni akili yake,hajielewi,haendi na wakati,hajitambui,hata ukisema umuoe ni majanga sana huyu dada,angetulizana na mambo ya attention,ingemsaidia sana ku add value yake...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu ana post picha ya photoshop, kisha anasifiwa yeye ni mzuri! sasa hapo mzuri yeye au picha ?!!!. Haya masifa sifa haya kuja kutahamaki muda na miaka imekwenda na bank huna kitu.Kabila la watu weusi tunashida sana.
Ajabu wengine nao wanatafuta kushindana na picha za kuchuja!!!Matokeo yake unaweka kucha za bandia ndefu nchi moja, nywere za bruu, uso wa rangi ya fanta passion, kiwiliwili rangi ya peps!. Pua na masikio yaliishatobolewa zamani, siku hizi hata uchi una wekwa pini, bangili.! Manina wallahi corona uje kuchukua wapuuzi hawa!!
Kafanyaje we makalio
Angalia wasije wakame up na moyoIla wema alifanya bypass surgery? Alafu baada ya kupungua akafanya skin reduction surgery? Vipi kuhusu stretch marks alizokua nazo. Ule unene aliokua nao itakua amefanya boob job pia tatizo hawezi kua muwazi. Kuna wengi wanataka kufanya surgery lakini hawajui pa kuanzia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo ni mshkaj wangu