Mi nahisi kama anapenda pesa kuliko iyo kuolewa, maana angependa kuolewa ama ndoa angeolewa na mmoja akatulizana. Nadhani ni pesa tu!na iyo ya kubadili dini nadhani anatumia kama chambo kuwaaminisha wanaommiliki kua ye yupo serious kwao
Wolper aka ilham
sure mpiga dili yule
chaga line
anajitoa fahamh tuHapo ndio kwenyewe, labda anajenga kwao uko. So nyumba ipo stage za mwsho mwsho
Hivi ana umri gani, sio below 28 uyu?
27 yani sijui anahangaika na nini huyu binti na hao wazazi kazi wanayo
hhhhahahaaaaaa bi shiiidaaahKumbe bado anamalizia umri wa kuruka ruka. Wazazi si wa kulekule, labda wanajengewa
Ha ha ha ha, Punda akifa next time mzigo hautabebeka, ila kwa nje si habahhhhahahaaaaaa bi shiiidaaah
bora punda afe hiyo!!!
Heheeeeeeeee haya chacha binamu nimerudi upyaaa nimewa missijeee warumi Heaven on Earth nimekuja
Ni msukuma ndio alikubana ama?
Ha ha ha ha, Punda akifa next time mzigo hautabebeka, ila kwa nje si haba
Heheeeeeeeee haya chacha binamu nimerudi upyaaa nimewa missijeee warumi Heaven on Earth nimekuja
Heheeeeeeeee haya chacha binamu nimerudi upyaaa nimewa missijeee warumi Heaven on Earth nimekuja