Raynavero
JF-Expert Member
- Apr 29, 2014
- 38,378
- 56,047
Mi nahisi kama anapenda pesa kuliko iyo kuolewa, maana angependa kuolewa ama ndoa angeolewa na mmoja akatulizana. Nadhani ni pesa tu!na iyo ya kubadili dini nadhani anatumia kama chambo kuwaaminisha wanaommiliki kua ye yupo serious kwao
bas mjasiria akili