Si ndio!!! 🤣🤣🤣Mzee mnyamwez sana, Utaishije na Mafisi kwa kisingizio cha Furure huku bata zinakupita.
ni huzuni😃😃😃Mzee wako ni sawaa na mzee wangu naye alikataa tabata kununua kisa kuna mafisi anajilaumu mpaka leo...
Hiyo suruali jina lake inaitwa:Hiyo suruali chini kipimo ngapi?
Huyu ni Freeman Aikael Mbowe...na usisagau kazaliwa mwaka 1961...so kwa kuangalia hapo ni miaka ya 79 au 80...hata kama unamchukia mtu Mheshimu....!
Kwenye picha umetudanganya mtoa mada, huyo jamaa anaitwa Sanle Sory mtu wa Burkina Faso, alizaliwa 1943 ana miaka 81 sasa.
Ni mpigaji picha maarufu, mmiliki wa studio inaitwa Volta Photo Studio.
View attachment 2935369
Bado yupo hai?Picha ilipigwa 1961, flexing on his new Yahama baada ya kukataa kununua shamba la heka 500, Kimara-Dar es salaam kwa shilingi 30/- za kitanzania kwa madai hawezi kuishi na mafisi huko maporini.
Stori nzima katungaKwenye picha umetudanganya mtoa mada, huyo jamaa anaitwa Sanle Sory mtu wa Burkina Faso, alizaliwa 1943 ana miaka 81 sasa.
Ni mpigaji picha maarufu, mmiliki wa studio inaitwa Volta Photo Studio.
View attachment 2935369
Enzi hizo baiskel inalipiwa ushauruNadhani ndiye alikuwa kijana tajiri, mtanashati, mnyamwezi halafu bishoo na alijua kutupia kwa kipindi hiko, wasichana miaka hio ambao leo ni vikongwe walimuelewa sana.
Kwa mwanzoni mwa miaka ya 60 kumiliki bike kama hio ni kama leo una Range Rover Velar ya 2024.
Kipindi hiko traffic anasimamisha baiskeli inakaguliwa kengele hadi breki sio poa.
Hii picha kuna mahali niliiona haihusiani na DSM kabisa. Huyo muongo JamiiCheck njooni chap.Picha ilipigwa 1961, flexing on his new Yahama baada ya kukataa kununua shamba la heka 500, Kimara-Dar es salaam kwa shilingi 30/- za kitanzania kwa madai hawezi kuishi na mafisi huko maporini.
Jamiicheck waje chap kwa kitu cha kipuuzi kama hiki, hawana mambo ya maana ya kucheck?Hii picha kuna mahali niliiona haihusiani na DSM kabisa. Huyo muongo JamiiCheck njooni chap.
Uko sahihi kabisa. Hata mitaa ya Sinza kuna wazee wengi tu walisema walikataa kununua kwa bei chee kabisa kwa sababu eneo lilikuwa limejaa maji. Kila kitu na wakati wake. Hata kijana wa leo hebu muuze juzi juzi tu mwaka 2011 bitcoin ilikuwa na thamani ya dola 1 lakini sasa hivi 2024 ina thamani ya dola 68,000. Yaani kama ungekuwa umetumia dola 100 tu kununua bitcoin kipindi hicho cha 2011 sasa hivi ungekuwa na dola 6,800,000.hata kama mimi pia nisingekubali,kila jambo linaenda na wakati,siwezi kununua pori nisilo na kazi nalo.
Tena walikuwa wanakagua stika za ushuru kama pikipiki kwa sasaNadhani ndiye alikuwa kijana tajiri, mtanashati, mnyamwezi halafu bishoo na alijua kutupia kwa kipindi hiko, wasichana miaka hio ambao leo ni vikongwe walimuelewa sana.
Kwa mwanzoni mwa miaka ya 60 kumiliki bike kama hio ni kama leo una Range Rover Velar ya 2024.
Kipindi hiko traffic anasimamisha baiskeli inakaguliwa kengele hadi breki sio poa.
Nyerere ndie aliyeua Idea za wazee wetu ilikuwa ukiwekeza kwenye mijengo viwanja mashamba unakamatwa ndani kesi ya uhujumu uchumi,ikawalazimu wazee waoe wake wengi walewe na kufungua zipu ili pesa ziishe TU.Daa nina picha zangu kama hizo kibao tu
Ila maisha ya zamani raha ingawa tulikuwa hatuna Internet
Siku hizo kuna mitandao na mnashawishiana kuwekeza kupitia forums na simu janja
Sasa sisi zamani kama umezungukwa na wasiojielewa lini utapata ideas
Hata sasa pia kuna fursa zisiwapite vijana
Acheni kula Bata wekezeni sana kama ngumu basi muwe na malengo hata ya miaka 20
Huwa nalaani kila leoNyerere ndie aliyeua Idea za wazee wetu ukiweza mijengo viwanja mashamba unakamatwa ndani kesi ya uhujumu uchumi,ikawalazimu wazee waoe wake wengi walewe na kufungua zipu ili pesa ziishe TU.
Maana ukikutwa nazo kesi.
Ukizingatia usalama wa taifa wa zamani walikuwa viherehere kishenzi wapo mbele ili wakuharibie