Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Nimependa ilo bwanga la Babu yake hapo limekosekana JEJEPicha ilipigwa 1961, flexing on his new Yahama baada ya kukataa kununua shamba la heka 500, Kimara-Dar es salaam kwa shilingi 30/- za kitanzania kwa madai hawezi kuishi na mafisi huko maporini.
Kaka zake hawa hapaPicha ilipigwa 1961, flexing on his new Yahama baada ya kukataa kununua shamba la heka 500, Kimara-Dar es salaam kwa shilingi 30/- za kitanzania kwa madai hawezi kuishi na mafisi huko maporini.
Historia ya Kimara nasikia ilikuwa inatisha.Picha ilipigwa 1961, flexing on his new Yahama baada ya kukataa kununua shamba la heka 500, Kimara-Dar es salaam kwa shilingi 30/- za kitanzania kwa madai hawezi kuishi na mafisi huko maporini.
Milioni 25 parefu sana. Gawa hilo shamba in portions na sisi tupate.nakushauri kanunue shamba heka 500 visiga kwa 25,000,000 kabla hujaja kusimangwa na vitukuu vyako miaka 60 ijayo
Hongereni kwa kuwa na babu mmoja huyo huyo Kenya alikataa kununua eka 5,000 na huyo huyo alikataa kununua eka 500 Kimara🤣🤣Picha ilipigwa 1961, flexing on his new Yahama baada ya kukataa kununua shamba la heka 500, Kimara-Dar es salaam kwa shilingi 30/- za kitanzania kwa madai hawezi kuishi na mafisi huko maporini.
Sahihi mkuu, acha kabisa.Enzi hizo baiskel inalipiwa ushauru
Sahihi mkuu.Tena walikuwa wanakagua stika za ushuru kama pikipiki kwa sasa
Mambo ya ujamaa.Nyerere ndie aliyeua Idea za wazee wetu ilikuwa ukiwekeza kwenye mijengo viwanja mashamba unakamatwa ndani kesi ya uhujumu uchumi,ikawalazimu wazee waoe wake wengi walewe na kufungua zipu ili pesa ziishe TU.
Maana ukikutwa nazo kesi.
Ukizingatia usalama wa taifa wa zamani walikuwa viherehere kishenzi wapo mbele ili wakuharibie
Mambo ya kisengeh kabisa.Nyerere ndie aliyeua Idea za wazee wetu ilikuwa ukiwekeza kwenye mijengo viwanja mashamba unakamatwa ndani kesi ya uhujumu uchumi,ikawalazimu wazee waoe wake wengi walewe na kufungua zipu ili pesa ziishe TU.
Maana ukikutwa nazo kesi.
Ukizingatia usalama wa taifa wa zamani walikuwa viherehere kishenzi wapo mbele ili wakuharibie
Picha hiyo siyo ya mwaka 1961 kwa vile suluari hizo za Pecos na Bugaloo na mashati ya Slim fit zilikuwa ni fasheni za miaka ya kuanzia 1973. Suruali za miaka ya sitini zilikuwa ni style ya tight mtepeshoPicha ilipigwa 1961, flexing on his new Yahama baada ya kukataa kununua shamba la heka 500, Kimara-Dar es salaam kwa shilingi 30/- za kitanzania kwa madai hawezi kuishi na mafisi huko maporini.
Enjoy life is too Short.Si ndio!!! 🤣🤣🤣
Hiyo combination ya suruali, shati na kiatu chake vilikuwa ni qualification number one kupata mchumba narudia tena qualification number one kupata mchumba ... kosa vingine vyote lakini siyo hiyo.Picha ilipigwa 1961, flexing on his new Yahama baada ya kukataa kununua shamba la heka 500, Kimara-Dar es salaam kwa shilingi 30/- za kitanzania kwa madai hawezi kuishi na mafisi huko maporini.
WE umeingizwa cha kikePicha ilipigwa 1961, flexing on his new Yahama baada ya kukataa kununua shamba la heka 500, Kimara-Dar es salaam kwa shilingi 30/- za kitanzania kwa madai hawezi kuishi na mafisi huko maporini.
KumbeHuyu ni Freeman Aikael Mbowe...na usisagau kazaliwa mwaka 1961...so kwa kuangalia hapo ni miaka ya 79 au 80...hata kama unamchukia mtu Mheshimu....!