Picha ya Dkt. Salmin Amour na Dkt. Hussein Mwinyi inaliza

Makala...
Ahsante.
 
Upofu unasababishwa na kutenda maovu?
Hayo maovu yana uhusiano gani na retina, iris, chochlea, knobs au chochote kwenye jicho.

Mimi nauliza uhusiano wa kibaiolojia sio hayo mambo yenu ya "angefanya mema angekuwa na afya". Kwani mtume alipoumwa alikuwa kafanya maovu gani. Ni wapi kwenye dini ulifundishwa mtu akiumwa/mlemavu chanzo ni maovu yake.
Watu waliozaliwa vipofu au walemavu maovu waliyatenda lini.
 

sio kuwa kipofu sasa hivi mavi popote sio unaona kuna debe hapo
 
Upo upofu unaosabibishwa na maovu ewe mpendazoe na kwa sababu huelewi wacha nikutolee mfano wewe mwenyewe, huenda usingefikia hapo ingelikuwa ni muhanga wa uvamizi wa majeshi ya JWTZ
 
Upo upofu unaosabibishwa na maovu ewe mpendazoe na kwa sababu huelewi wacha nikutolee mfano wewe mwenyewe, huenda usingefikia hapo ingelikuwa ni muhanga wa uvamizi wa majeshi ya JWTZ
Sielewi kwa kuwa hakuna mnachoeleza. Eleza upofu unaosababishwa na maovu unatokeaje.
Kwenye causes of blindness kuna hiyo imani yako kama chanzo? Yani nimeomba maelezo mfano ''ukiua mtu, roho yake inatoka zinakuja kuganda kwenye lens ya jicho hivyo unakuwa kipofu". Nataka mfano kama huo kulingana na elimu yako.

Sasa nyinyi mnakuja na hadithi za kufikirika. Then, waliozaliwa vipofu walifanya uovu gani?
 
Nakumbuka Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Ndugu Ali Amer akihojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Ujerumani, Deutchvelee mchana ule wa Tarehe 24/10/1995
Alisema "....Uchaguzi umejaa kasoro nyingi na hujuma tele hasa kwa upande wa Pemba hivyo wao kama CCM hawatatambua matokeo yale na kuitaka tume ya uchaguzi ZEC kufuta na kurejea Uchaguzi..."

Ajabu siku mbili baadae 26/10/1995 Baada ya kutangazwa Komandoo kushinda kwa ushindi ule mwembamba wa kura 1500 na kura 4000 kuharibika Ndugu Ameir alibadili kauli yake huku akisema "tume ndio ina mamlaka ya mwisho na hivyo kutangazwa kwa Komandoo kushinda ndio uamuzi wa Tume na ndio wa mwisho"

Siasa za Zanzibar hazijawahi kuwa nyepesi kwa CCM tangu 1985.
 
SaSALMIN HAMJUI HUSSEIN MWINYI WALA HAMKUMBUKI NA PIA SALMINI HAONI SASA HAPO MWINYI ANAULIZWA NA SALMINI KWANI WW ULISOMA SHULE GANI HAPA ZANZIBAR MWINYI KAJIBU MM NIMESOMA MKURANGA NA NIMEZALIWA MKURANGA

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Nasikia WAPEMBA walipomlilia KOMANDO kuhusu kuonewa kwao aliwajibu

"MIMI SISIKII WALA SIONI" si unajua Wapemba tena na mambo yako ya kiswahili wakampa haja ya moyo wake leo HASIKII WALA HAONI
 
Ungo ukiwa mpya au mzima hutumika kwa kazi za vyakula kama kupepeta mchele au hata kuchagulia dagaa. Lakini ungo huohuo ukichakaa huitwa kibeku na hutumiwa kama zoleo la uchafu katika kufyagia uwanja.
Shukrani kwa kuniongezea nondo kali sana msamiati ila inaelekea "kibeku" pia ana umuhimu wake katika kufanya mazingira yawe safi ndio maana unaweza poteza muda kumtafuta ili kufanikisha zoezi.
 
sasa wewe toa elimu yako kwa nini kawa kipofu
 
Alikuwa na kauli chafu sana huyu jamaa enzi zake, lakini sasa si chochote si lolote. Be kind to the people on your way up because you will meet them on your way down.
Alikuwa mshenzi kwelikweli
 
Sheikh, hivi wakati wa kusoma DUA si huaga tunakaa kichini, mbona hawa masheikh wamekaa kwenye masofa tena? Au utaratibu umebadirika?
 
Sheikh, hivi wakati wa kusoma DUA si huaga tunakaa kichini, mbona hawa masheikh wamekaa kwenye masofa tena? Au utaratibu umebadirika?
umeyapata wap maelezo yako? du ainasomwa polpote na kwa sytle yoyote,au unaleta utan na dhihaka
 
Huwezi kudhulumu haki za maelfu ya Watu kuishi kisha Mwenyezi mungu akuache tu, malipo ni hapa hapa duniani. Mjulisheni na baba yenu jiwe pia.
Ombi lako limekubaliwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…