Wakuu nimeiona hili bango la Mgombea wa CCM bwan Jk ikiwa imechakachuliwa .Inasemekana vijana wa CCM waliokuwa wanabandika ndio wameichakachua . Msg sent.
Wakuu turudishieni ile ya mweleka wa jangwani, ile ya kukwidwa na mganga wa kienyeji- Mwanza tuzidi kuona hizo sinema. ndo maana TZ tumechoka, tunaongozwa na majini yanayofanya vituko hadharani!