Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hiki kijamaa kitakuwa kichawi ona kilivyo
Swastika huko nyuma na tabia zake vyaendana
Interahamwe bwana! Kwahiyo kumpa background ya Nazis ndio kukupunguzia maumivu?
Aliishia kati baada ya General Kaka na wenzie kumalizana na Rwigema huku wakisonga Kigali,ikabidi arudi asimamie alipoachia Rwigema.Alimaliza hiyo course?
Wewe umeielewaje
Interahamwe bwana! Kwahiyo kumpa background ya Nazis ndio kukupunguzia maumivu?
Ila kwa huyu madame aisee kazi tunayoHuyu mwamba,Training ya uofisa wa jeshi,kachukulia USA,sie nchi inaongozwa na kalani wa NGO!!
wap kagusia swala la dini hapo?Hama Nchi kafiri wa akili wewe, unamchukia Rais sababu ya dini yake keng,, wewe
Huyu mwamba,Training ya uofisa wa jeshi,kachukulia USA,sie nchi inaongozwa na kalani wa NGO!!
Kazi inaendelea.
Ziara ya mwamba Cabo Delgado.
Issa wapi jamaa kahusisha dini na Rais? Acheni hizoHama Nchi kafiri wa akili wewe, unamchukia Rais sababu ya dini yake keng,, wewe
Amemaliza kazi mapema wakati viongozi wezanke wapo majadiliano jinsi ya kukabiliana na ISIS. As good as it getsπKazi inaendelea.
Sadc watamnunia kishenziiiiiii.ππAmemaliza kazi mapema wakati viongozi wezanke wapo majadiliano jinsi ya kukabiliana na ISIS. As good as it getsπ
Hivi rais wetu jembe kabisa alikuwa naniHuyu mwamba,Training ya uofisa wa jeshi,kachukulia USA,sie nchi inaongozwa na kalani wa NGO!!
Wakuuu mna manenoooo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyu mwamba,Training ya uofisa wa jeshi,kachukulia USA,sie nchi inaongozwa na kalani wa NGO!!