Winnie Byanyima ambaye kwa sasa ni mke wa Kizza Besigye, alikuwa mke wa Museveni na wana mtoto . Lakini baada ya kuingia Ikulu, Museveni alimuacha Winnie na kumchukuwa Janet Museveni na kuwa first lady. Baada ya hapo ndo Besigye akuchukua mzigo. Kwahiyo hawa jamaa wana beef za "family affairs" na " Political Affairs" .
Kumbuka kwamba hata Besigye Mwenyewe alikwepo vitani na alikuwa Daktari mkuu. Aliwatibia wote waliopigwa risasi na kuumwa magonjwa mengine. For sure these guys were once very close friends, they used to eat and sleep together,lin leo ni maadui wakubwaaaa