leipzig
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 2,766
- 1,708
Yaani leo ndio nimeamini yanayosemwa mtaani,kufanya kazi kwa media.
Hivi ambao mmeshahakiki zoezi hilo linachukua muda kiasi gani kwa silaha moja kuhakikiwa?maswali gani ya msingi yanayoulizwa na wanaohakiki? Je wasiporidhika na majibu yako wanakupokonya hiyo silaha?
Hivi ambao mmeshahakiki zoezi hilo linachukua muda kiasi gani kwa silaha moja kuhakikiwa?maswali gani ya msingi yanayoulizwa na wanaohakiki? Je wasiporidhika na majibu yako wanakupokonya hiyo silaha?